Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Umemkula weeeee,sasa unaona chenza limekuwa chungwa..mwachie chumba na kila kitu wewe si kidume na hutaki shari na huyo mtu,nenda kaanze moja mwache yeye aendeleze gurudumu lake...
akikujibu nishutue nami nina jambo moja na wewe.Kwani
Humpendi
.au sio chaguo lako.
Asa kwa nini ulikuwa nae..![]()

# msaada zaid chk whasap 0746486376😂😂😂Kama Kuna ukweli hiviHuyo ndo mke wako wa maisha, huchomoi...utakuja kutuambia. Mwezi ujao atakwambia ana mimba
Uzi wenyewe si ndo huu sasa??Uzi wa kuoa kimasihara utaanzishwa lini?
Umemkula weeeee,sasa unaona chenza limekuwa chungwa..mwachie chumba na kila kitu wewe si kidume na hutaki shari na huyo mtu,nenda kaanze moja mwache yeye aendeleze gurudumu lake...