Recent content by Protocol37

  1. Protocol37

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Hahahaha hahah[emoji13] [emoji13]
  2. Protocol37

    Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

    Sijui sisi tunahusikaje hapo??[emoji51][emoji51]
  3. Protocol37

    Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

    Sijui sisi tunahusikaje hapo??[emoji51][emoji51]
  4. Protocol37

    Nairobi, Kenya: Tundu Lissu azungumza na kula chakula kwa mara ya kwanza

    Kuna watu wanaeneza uvumi mbaya washindwe Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Protocol37

    Nini maana ya injini used mswaki

    Injini mswaki ni injini ambayo ina baadhi ya vifaa na baadhi hamna. Inakuwa na imefungwa vizuri na cylinder head yake na cover, piston, block camshaft na vitu vyote ya ndani coil na plugs. Lakn haina accessories kama oil pump,nozeli,D4, water pump, na vitu vingine kama hivyo vya juu ila ndani ni...
  6. Protocol37

    Njia Rahisi Kukwepa Speed/Traffic Camera

    Mita 1000 ni Km moja mkuu be informed. Hakuna tochi yenye uwezo huo
  7. Protocol37

    Kutoa harufu kwa mwanamke baada ya kufanya mapenzi, ni nini tatizo?

    Inawezekana kaka unachukua vinuka mkojo hapo uwanja wa fisi au majiani hebu jaribu kwenda mitaa ya posta upate watoto wanaojua kujiswafi. Uchi una harufu yake tamu ba kama unasikia samaki samaki ujue unabugi
  8. Protocol37

    Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara

    Magu is the man ukweli utatuweka huru tulizoea maneno matamu
  9. Protocol37

    Eti ukila fedha ya rambirambi unakufa?

    Unaonaje ukijaribu mkuu ili tupate jibu kamili ?
  10. Protocol37

    Uhakiki wa vyeti unafanyikaje ?

    Wakuu habari. Naomba kufahamu huu uhakiki wa vyeti unafanyikaje. Maana hakuna taarifa rasmi tunakuwa tunasikia tu. kama kuna anayefahamu wanafanyaje anijuze.
  11. Protocol37

    Pale mke wangu anapomuonea wivu mwanae mchanga

    Yes tuambizane maana mwanzo nilipata hasira ila inanibidi kutafakari zaidi
  12. Protocol37

    Pale mke wangu anapomuonea wivu mwanae mchanga

    Mkuu una mtoto? Nikiongelea upendo kwa mtoto simaanishi unavofikiria ww ni upendo wa mzazi kwa mtoto
  13. Protocol37

    Pale mke wangu anapomuonea wivu mwanae mchanga

    Mkuu umepiga ikulu. Kama ulikuwepo maana ndivo ilivo seriously nampenda mtoto wangu na kumjali sana
Back
Top Bottom