Hahahaha hahahNajiuliza hiv msichana akiwa period afu
akakalia meza haiwezi kutokea periodic
table......
hahahaHusband - honey where is my wallet..?
Wife - where the Manchester city is..?
Husband - what do you mean...??
Wife - on top of the table..
ukimuona demu wa kimasai amekaa pekee yake achana nae usikute bwana wake karuka juu
sasa wewe leta shobo sime zitahusika
[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
aseeeJamaa salary yake ilikua 200000. Siku moja kapata cheque ya 220000. Akanyamaza na hakuambia mtu
Next month akapata cheque ya 180000. Akaenda kwa Boss kulalamika
Boss akamuuliza "mbona mwezi uliopita hakulalamika?"
Jamaa akajibu "kosa si kosa, bali kurudia kosa ndio kosa kubwa"
I was in a dream and the red devils were chasing me, immediately I shouted sevilla. They disappeared!!!
hahaha aiseeeMajivuno Wakati Mwingine Hayafai, Jamaa Mmoja Alipanda Daladala Mara Simu Ikaita,, Jamaa Akaitoa Mfukoni Kuangalia Ni Mke Wake Anapiga!! Jamaa Kwa Kutaka Kujionyesha Akaweka Loud Speaker Jamaa Akamuuliza Mke Wake."Saivi Tu Umenimiss Mke Wangu Au Tatizo Nini Niambie Basi Babby" Mke Wake Akamjibu "Sijakumiss Wala Nini Nataka Kujua Kwanini Umevaa Chupi Ya Mtoto" Abiria Walicheka Hadi Wakalaliana!!! ....www.wasasa.
DUNIANI USIMWAMINI MTU,NIMESHANGAA KUKUTA OFISI ZA TANESCO KUNA GENERETA
Naona leo umevuta nyingi + kutafuna mbegu zake + kula ugali na mchicha wake.Sina habari, nahesabu mapato Nyie endeleeni kusema vyuma vimekaza View attachment 725017