Protocol37
Member
- Mar 18, 2016
- 32
- 19
Jambo hili limekuwa linanishangaza. Zamani nilikuwa nasikia kuwa mwanamke akizaa huamishia mapenzi kwa mtoto akimuacha mume anajikunyata. Lakini sasa yamenikuta mke wangu analalamika kwamba nimehamishia mapenzi kwa mtoto wetu mdogo wa kike ambaye sasa ana miezi mitatu. Haya mambo yananitatiza sana kwani wanawake mna nini hadi mnashindana na wanenu wachanga?