SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,975
- 75,060
Ngoja tusikilizie wa mjengoni.
Mbaya zaidi ukila ya wahanga wa matukio mabaya.Ndugu zangu naomba kueleweshwa kidogo kama kuna madhara yoyote kwa mtu anayekula rambirambi? Maana wapo vijana wanasema eti ukila rambirambi unakufa.
Acha utani weweYawezekana maana Lema alishapata Maono tusubiri tuone
Mimi naziogopa hizo pesa ila kuna jiran yangu mmoja nasikia amekulaKwa hiyo na ww unataka kuzila? Utakufa mkuu
DuuuuuuuUnadhani zile za kupitisha ule muswada zimetoka wapi?
Waulize Simba fc na rambirambi ya Mafisangoo.Ndugu zangu naomba kueleweshwa kidogo kama kuna madhara yoyote kwa mtu anayekula rambirambi? Maana wapo vijana wanasema eti ukila rambirambi unakufa.