Recent content by Prince Rodgers

  1. P

    Poor TV reception

    Kwa wale wataalam wa IT hebu nielewesheni kuhusu sababu kubwa inayofanya kupotea kwa signal na hasa kwa hizi TV zinazotumia Satellite kama vile DSTV wakati huu wa mvua.Kinachotokea ni nini hasa kitaalam?Na je,tatizo hili halina solution?
  2. P

    Huu ni Mbuyu aliojificha Mjerumani kujiepusha asiuwawe wakati wa Vita... Manyara.

    Nanoli,huo mbuyu upo baada ya kupita sehemu iitwayo Magugu ukitokea Arusha au baada?Hebu nikumbusheni Geography ya pale mahala!
  3. P

    Mvua kubwa jijini Dar - Mei 8, 2017

    This weather is appalling comrades!BBC,yesterday in its weather forecast programme,made it clear that today Tanzania would experience heavy rain and here it is.
  4. P

    Sitaki THAAD zenu hapo: China ya foka!

    China haina uwezo wa kuamrisha South Korea na US kuondoa ile mitambo.Ile ipo ndani ya Korea ya Kusini,kumbuka hilo.
  5. P

    Sumu iletayo kansa yagundulika katika mbegu za Alizeti(sunflower seeds)

    I'm tired of this campaign! Every grain now has aflatoxin. Argggaah!
  6. P

    Hivi ninyi wanawake hamjui kuwa sahizi hali ni ngumu mtaani?

    Dawa ni kuwapiga chini na kuhamia kwa dada poa.Shillingi 2000 tu upo okay.But be careful with HIV!
  7. P

    Agony of investor as bank auctions Sh5 billion hotel

    Fisi,unajua kwanini walikuchukia?Kuna real estate ndiko kwenye upigaji rahisi sana wa mbumba.
  8. P

    Binti uliyeachana naye ukagundua ana Mimba yako

    Nina historia mbaya na binti wa kingoni.Huwa hawashauriki.
  9. P

    Msaada, ulimi wangu umechanika chanika

    Ulishawahi kwenda hospital kujieleza juu ya hiyo problem?Hebu ngoja waje wataalam watupe majibu ila mimi naona ingefaa sana kama ungewaona wataalam hospitalini.
  10. P

    Waziri Kairuki: Serikali haitomvumilia mtu mwenye vyeti feki

    Wakati mwingine kukaa kimya ni busara.Huna haja ya kuzungumzia jambo wakati wahalifu unakunywa nao chai kila siku barazani mwako.
  11. P

    Rais Magufuli kwa hili yuko sawa, ITV jirekebisheni

    Huwa si mchangiaji sana wa mada lakini huyu aliyeleta hii mada atakuwa alipata division O secondary.
  12. P

    Nina 12tsh milioni, naweza kujenga simple room mbili, choo na bafu?

    Aisee hongera sana,ujenzi huwa ni mtihani sana wakati mwingine.Napenda kujua mkuu mbao na bati umevipata wapi ili na mimi niende huko maana mimi fundi wangu ananiambia kupaua tu,nikimaanisha mbao na bati niandae Sh 10million.Of course nyumba ina underground yenye vyumba viwili vya kulala kimoja...
  13. P

    LHRC Walaani RC Makonda Kuvamia Clouds Media, Wamtaka Rais Magufuli Amwajibishe

    Duh,kuna baadhi ya watu utadhani wanaishi dunia ya kwao.Wanayo macho lakini hawaoni,wanayo masikio lakini hawasikii na wanayo pua lakini hawanusi.Anyway,time will tell!
  14. P

    Sumaye awakaanga Magufuli na mkuu wa mkoa wa Dar

    Freedom of expression!
Back
Top Bottom