Nina 12tsh milioni, naweza kujenga simple room mbili, choo na bafu?

neliville

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
202
177
Jamani kama heading inavyo jieleza naweza jenga kanyumba simple ka vyumba viwili sitting room na choo na bafu kwa milioni 12 naomba kujua kutoka kwa wataalamu
 
Kila la kheri! Ila your budget depend much na location unayokaa.

Bt with that budget it can be done..just capitalize on cheap man power and some materials.

Yes you can sir!
 
Unaweza kabisa kaka...ila inabidi usimamie kila kitu kwa umakini mkubwa.....kwa mfano kabla ya kuanza ujenzi fanya research vitu gani vinapatikana maeno ya site yako kwa urahisi. Kwa kuanza maji ni muhimu sana je yanapatikana?
 
Unajenga, na inaisha, Kama tayari unakiwanja, na Kiwanja kiwe ni flat plot.
 
Isije kuwa uwanja wako ukawa kwenye mwinuko,hela hiyo itatosha kujenga boma tu
 
Madale mkuu nataka nijenge hivyo niachane na kutoa kodi kwa wanaume wenzangu kisha baadae nijenge nyumba kubwa nikiwa hapo hapo kiwanja ukubwa ni nusu heka
 
129c4798-09b7-4cc2-ab52-9dff5f46aca8.jpg

Inawezekana sana mkuu hiyo itatosha mpaka na kupaua
 
2017-03-21+19.26.14.jpg

Hiyo hapo ina room 3 moja master ina choo cha public Sebule dining na jiko mpaka kufikia hapo nilimaliza kama 14 milion. kwa pesa yako hiyo unajenga na kuhamia kabisa mkuu, Hongera sana
 
Jamani kama heading inavyo jieleza naweza jenga kanyumba simple ka vyumba viwili sitting room na choo na bafu kwa milioni 12 naomba kujua kutoka kwa wataalamu
Kiwanja unacho!, inaategemea na standards mkuu
 
Madale mkuu nataka nijenge hivyo niachane na kutoa kodi kwa wanaume wenzangu kisha baadae nijenge nyumba kubwa nikiwa hapo hapo kiwanja ukubwa ni nusu heka
Aisee hongera sana,ujenzi huwa ni mtihani sana wakati mwingine.Napenda kujua mkuu mbao na bati umevipata wapi ili na mimi niende huko maana mimi fundi wangu ananiambia kupaua tu,nikimaanisha mbao na bati niandae Sh 10million.Of course nyumba ina underground yenye vyumba viwili vya kulala kimoja kikiwa ni master,jiko,sebule na public toilet.Juu inavyo vyumba vinne vya kulala ikiwamo master,sebule,dinning,jiko na store.

Yap kiwanja kipo madale

View attachment 484407
Hiyo hapo ina room 3 moja master ina choo cha public Sebule dining na jiko mpaka kufikia hapo nilimaliza kama 14 milion. kwa pesa yako hiyo unajenga na kuhamia kabisa mkuu, Hongera sana
 
Tafuta fundi akuandikie waitaji nini, nenda naye hardware, mrudi mpige mahesabu, acha kusumbua watu.
 
Back
Top Bottom