Recent content by Prince leonny

  1. Prince leonny

    Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

    Ilongero sgd (sekotoure/mwamjee ndio kitovu kilizikwa kikaacha mwili mlingoti chuma bendera chuma)
  2. Prince leonny

    KERO: Masanja Mkandamizaji kutumia Ulokole kinyume na maadili ya Kipentekoste

    Makanisa yenyewe mkigombana kuhusu sadaka mnatawanyika wala siyo jambo la kushaangaa hilo wachungaji wanakazana kukemea mapepo ila vibinti vimekaa mbele sket zimeishia kwenye magoti anavyoviona hadi anaamua kufumba macho
  3. Prince leonny

    Miili ya askari 14 waliouawa Congo kuwasili leo Uwanja wa ndege Dsm saa 12 jioni

    Kuhusu suala la kufa wa Zbz wengi siyo swala la Brig moja bali hiyo mara nyingi huwa hutokea tu watu kama mmetokea eneo moja kupiga story moja na mbili kama wanyumbani na huwa haiathiri sana utendaji wa kazi hasa katika majukumu pia angalia wametoka vikosi tofauti hvyo kwa mwanzo mtu anatafuta...
  4. Prince leonny

    NASA yaghairi kumuapisha Raila Odinga..

    2020 tusubiri na sisi kwetu upinzani siyo kenya tuu muda unasafiri
  5. Prince leonny

    Tafakuri ya Kikwete

    Wataje ukifikisha 10 waliopigwa risasi na kuuwawa na waliojeruhiwa na waliopotea ukijumlisha na waliotekwa awamu hii nakupa Jero ya vocha usitukane we shusha tu majina alafu reply me ntajua kweli upo serious acheni mambo ya kihuni fanyeni maisha mambo tafuteni maisha acheni siasa za vijiweni
  6. Prince leonny

    NASA yaghairi kumuapisha Raila Odinga..

    Mhuuuuuuh yale yale bongo tunaahirisha ukuta ni sikukuu ya wanajeshi ukishindwa sema bhana ee kabali imeniingia acha nyoya tukutane 2022 hapo
  7. Prince leonny

    Dunia yapinga na kulaani uamuzi wa Trump juu ya Jerusalem

    Hakuna nchi inayoitwa israel soma vitabu ndgu hao wote ni binadamu hata hao wayahudi wenyewe hawaamini kile unachokiamini wewe jerusalem ni mji mtakatifu ndio ila itumike busara kulijenga taifa la Mungu hiyo nchi ilipaswa iitwe hata jerusalem yenyewe na sio Israel ambaye ni jina la mtu tena...
  8. Prince leonny

    Mliooa "boxer" mnaanika wapi?

    Ndio maana zinaitwa nguo za ndani maana yake siri sasa unapozianika nje ili watu wajue rangi za nguo zako ili weje mfano wengine wanawake michupi mikubwa kama ile ya ndondo cup unaanzaje kuianika nje tafuta sehemu nzuri ndani anika nguo zako unazifua cku moja zikikauka piga pasi weka kwenye kabati
  9. Prince leonny

    Hatimaye TBA yamaliza utata juu ya "Expansion Joint", yatoa picha ya kuta zinazoonesha nyufa hazina madhara

    Hzo nikweli ni expansion joints kwa maengineer waliosomea wanajua jengo lolote lenye urefu kuanzia 15/25m na kuendelea huwa inawekwa hiyo inasaidia nyumba iweze kupumua kipindi cha joto na baridi ila huwa kuna material fulani yanawekwa kuficha huo ufa tena ufa huo huzibwa kwa plastic material...
  10. Prince leonny

    Mke wangu alienda kunichongea kazini nikafukuzwa ili anitese

    "Wanaume ishini na wake zenu kwa akili"mpaka hapo ushafeli labda nikupe mbinu mshawishi mke wako mfungue biashara na natumaini atakulewa kama ulimpiga sound akaingia kingi natumaini hili haliwezi kukushinda labda kama ulitafutiwa na baada ya kufanya biashara mshirikishe japo najua hatakuwa na...
  11. Prince leonny

    Bia gani inafaa kwa mtu anayeanza kunywa?

    Nakushauri usijifunzie pombe ukubwani utaharibikiwa maisha yako yote pombe ni rafiki wa kweli japo ukimzidisha anakudhalilisha ni rafiki anayependa ustaarabu sana maana huwa hakusumbui yeye urafiki wake pesa huna hela haumpati na siyo mnafiki yeye popote mtakaa na kuenjoy maisha hachagui sehemu...
  12. Prince leonny

    Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

    Duh aisee nilikuwa siamini hadi nimepitiliza kituo kumbe kweli shabiby terminal imelala down
  13. Prince leonny

    Wanaume wenye miaka zaidi ya 25 Ila hawana kiwanja

    Hao wa kuumia roho waache tafuta super women amabaye anauwezo wa kusimama na kukushauri maswala ya maendeleo utafute pesa hao mbona tutakutana mbeleni unawala bure tu bila hela tena unakula chipukizi si hela unayo
  14. Prince leonny

    Wanaume wenye miaka zaidi ya 25 Ila hawana kiwanja

    Yaani kijana kuoa 32-40 umeshachelewa sana yaani muda wenzio wanatafuta pesa wewe bado unaishi nyumba ya kupanga au nyumba ya ofisi alafu ndio kwanza unalea na haujaanza kusomesha dah pole sana vijana angalau 25-35 umeshamaliza kuzaa unasomesha na kutafuta pesa,kujenga miradi na kulea familia...
  15. Prince leonny

    Wanaume wenye miaka zaidi ya 25 Ila hawana kiwanja

    Wabongo wanavyojua kuangalia erros nawajua karibuni pia ndio kazi yenu
Back
Top Bottom