Mliooa "boxer" mnaanika wapi?

Kufunika kwa kanga labda za wanawake ,boxer hazina shida kuanikwa tu wazi maana nikama bukta au kaptula ndogo .Kwani vikaptula vya watoto wa kiume miaka miwli hadi minne mnaanika wapi? Naona vipo sawa tu na boxer
inategemea na umri wako na hadhi yako. Hiwezi kuwa na watoto wakubwa, umbo kama letu hilii ukaanika boxer tu hivi hivi! lazima uwe na staha kidogo hata mkwe wako asione!
 
Mm nimefunga kamba chumbani kwa hiyo naanika chumbani hewa nyingi tuu.
 
Kuna maswali mengine huonekana ni ya kijinga lakini yana maana.


Kwa wadau ambao mmeoa na nyumba unayoishi sio master bedroom, nyumba nzima mnatumia choo kimoja hivi boxer zenu huwa mnaanika wapi?

Hapa mjini tuvyumba tudogo, ukisema uanike tu chumbani chumba kitakuwa kinanuka harufu ya uvundo na ukianika bafuni naona noma wageni wakija au beki tatu anaona boxer zangu... hahaaha

Mnaanika wapi boxer zenu?
Nguo za ndani zinapaswa kuanikwa nje zikauke vzr ili kuepusha magonjwa kama fangasi na UTI. Ni mila potofu tu ndizo zinawafanya mshindwe kuanika nje na aibu za hovyo hovyo. Mm najianikia nje kwenye kamba
 
Ndio maana zinaitwa nguo za ndani maana yake siri sasa unapozianika nje ili watu wajue rangi za nguo zako ili weje mfano wengine wanawake michupi mikubwa kama ile ya ndondo cup unaanzaje kuianika nje tafuta sehemu nzuri ndani anika nguo zako unazifua cku moja zikikauka piga pasi weka kwenye kabati
 
Mamaa!! Sasa unaogopa kuanika nje?? Hiyo kitu ukiifua unainika juan hakuna asievaa boxer acha ufala
 
Mimi boxer za mume wangu na vyupi vyangu huwa naanika nje kwenye jua .kwa nini nijitese .
 
Ndio maana zinaitwa nguo za ndani maana yake siri sasa unapozianika nje ili watu wajue rangi za nguo zako ili weje mfano wengine wanawake michupi mikubwa kama ile ya ndondo cup unaanzaje kuianika nje tafuta sehemu nzuri ndani anika nguo zako unazifua cku moja zikikauka piga pasi weka kwenye kabati
Mbona huwa zinauzwa hadharani!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom