Kumbe mi nauliza jambo dogo kwani tumeuliza kati ya Argentina na nini au tunamuongelea messi ni bora?? Ni mchezaji gani mwenye tuzo nyingi za balon d or? Ni mchezaji gani ni nominator Mara 9 mfululizo duniani??? Tangu awe captain Argentina haitoki 2bora duniani ni yeye pekee mwenye heartrick...
Pamoja sana yaani urusi hataki kuwaachia Syria mitambo ya kuzuia mashambulizi kwa sababu ni waarabu. Waarabu hawanaga siri ndio maana anawalinda akiwa kwake.
Nilikuwa naelezea udhaifu wa waarabu tu. Sasa marekani kwa Kim amepatikana yaani atapigwa mubashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.