IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Mkuu neno sawa umelitumia kwa msisitizo mkubwa, mpaka nahisi nawewe unanuka mdomo.!!!!???
Inakera kuona kwamba uelewa wa jamii yetu kwa mambo madogo kama haya unazidi mnoo!! Badala ya kujadili jinsi ya kuondokana na umasikini uliokithiri kwenye maisha yetu unakuja na kuomba ushauri kuhusu kunuka mdomo. Mjukuu wangu wa 7 yrs anajua kwamba kama hapigi mswaki vizuri, na kila anapolala na kuamka mdomo utanuka, this is simple. Pia inafahamika kwamba hata kwenye semina/warsha pipi zinawekwa ili kama kuna wenye hilo tatizo watumie pipi ili kuwa na harufu nzuri ya kinywa. Hata viongozi wanapojua wanaenda kukutana na wenzao na kuwakumbatia wanatumia pipi maalumu ili kuondoa harufu mbaya, this is very obvious facts....