Recent content by Praygod Mmbaga

  1. Praygod Mmbaga

    Kiswahili is now a unifying factor of Kenya

    Kama hakuna anayekithamini Kiswahili huko Kenya, kwanini viongozi wakubwa wa kitaifa kama Rais na Makamu wake wanahutubia kwa kiswahili na wanamuziki wote wa Kenya wanaimba nyimbo za Kiswahili?
  2. Praygod Mmbaga

    Behind the curtain: September 11

    Credibility ya source na story yenyewe navyo vina matter sana otherwise inabaki kuwa concipiracy theory tu kuwa ni inside job.
  3. Praygod Mmbaga

    Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani

    Sasa braza ushasema mwenyewe kuwa unajua sheria hairuhusu kujenga ndani ya makazi ya wakimbizi, ataruhusu vipi ujenzi huo? Huoni kuwa atakuwa anavunja sheria?
  4. Praygod Mmbaga

    Table manners

    Hao Watanzania 2% ndio wamelengwa hapa. Kama mzungu kaja kwako akakukuta unakula kwa mkono naye akala kwa mkono kwanini wewe ukienda kwake usile ki utamaduni wake? IQ kubwa hujengwa kujua masuala mengi tofauti tofauti. Huwezi kuwa na IQ kubwa kwa kujua tu namna ya kusaidia 98% ya Watanzania...
  5. Praygod Mmbaga

    Machache niliyojifunza kwenye kesi ya Tundu Lissu

    Arusha ni ICTR na sio ICC.
  6. Praygod Mmbaga

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Hiyo 710,000 atleast iwe ni before two weeks kabla ya siku ya safari, ndege ni ATC. Kwa Precision sijui sana ila inakuwa ni expensive zaidi ya ATC
  7. Praygod Mmbaga

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Mabasi huwa yanaondoka ubungo saa 11 na nusu. Ndege saa 12 kamili. Kwa bus itakubidi ufike nusu saa kabla ya safari na kwa ndege lisaa limoja au hata nusu saa kabla kwakuwa ni safari ya ndani
  8. Praygod Mmbaga

    Mishahara ya save the children

    Inategemea na position. Ki ujumla 800,000....
  9. Praygod Mmbaga

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Kwa mabasi luxury nauli ni 70, ndege go in return ukiwahi ni 710,000 kwa ATC. Upande wa Precision wako juu zaidi, nadhani ni kuanzia 800,000 ukiwahi, ukichelewa kukata kwa hizo ndege hata milion inafika.
  10. Praygod Mmbaga

    Dharau ulizokumbana nazo za Ma sekretari Ukiomba Kazi

    Nadhani Mapokezi huwa wanakaa Receptionists. Watu wengi huwa hawajui tofauti ya Secretaries, Receptionists na Typists.
  11. Praygod Mmbaga

    Kwa wakazi wa Dar sijui hii ni kawaida?

    Hakikisha unanunua chakula cha mwezi mzima, hela inayobaki tumia na hao wadada wa DSM.
  12. Praygod Mmbaga

    Bongo star search 2015

    Watu wanampenda kwakuwa anaimba nyimbo za kiswazi na zile sympath votes.
  13. Praygod Mmbaga

    Bongo star search 2015

    Hata mimi nimefikiri hivo, sidhani kama atatoboa asee. Ila kwakuwa Babu Tale atawasimamia kwa mwaka mmoja, labda anaweza vuma kwa mwaka huo.
Back
Top Bottom