Niliwahi kuwana boss anaependa kuagwa basi me hata nikitaka kwenda chooni naenda kwake. Boss naingia uwani kidogo, boss nipo hapo nje napunga upepo kidogo, boss nipo kula. Hadi akasema sio kila kitu lazima niage nikarudisha gia yangu ya...
Me nawajua vizuri, niliwahi kuomba kazi walizotangaza nikiwa Geita, wana hizo huduma zao unatakiwa uzinadi watu wajiunge wawe wanapelekewa chakula, wameziweka kwenye package 4,kwanza hazieleweki pili huwezi pata mteja na unalipwa pesa kidogo tena baada yakufikia kiwango cha wateja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.