Wanajamvi kwema humu ndani??..
Naulizia kama kuna mtu ambaye anawajua hawa godtec kiundani hasa anisaidie..manake nimeudhuria usaili wao ninamashaka nao sana kwa kile wanachokusudia kukitoa kwenye huduma zao..
Sent using Jamii Forums mobile app
Naulizia kama kuna mtu ambaye anawajua hawa godtec kiundani hasa anisaidie..manake nimeudhuria usaili wao ninamashaka nao sana kwa kile wanachokusudia kukitoa kwenye huduma zao..
Sent using Jamii Forums mobile app