Wenye hisa Tigo huu mwaka sio wao kabisa

maufoungph

Member
Oct 16, 2018
71
161
Baada ya zoezi la kubadili laini kwenye mfumo wa alama za vidole imepelekea Tigo kupoteza wateja wengi na hii kwavile udhaifu wa huduma zao kwa upande wa vifurushi, kusema ukweli Tigo tunatumia kwavile wakati tunaanza kutumia simu tumekuta Tigo ipo kwenye hadhi na urais wa vifurushi na ilikuwa ngumu kubadlika kwenda mtandao mwengne kwavile watu wengi hujua namba zetu na hata miamala ya fedha zenu huhusisha laini hizo.

Sasa mwaka huu kwisha kabisaa, leo nasikilza radio nakutana na tangazo la kushawishi wale waliofungiwa laini zao warudi kwa mawakala kurudisha laini hizo, yaani hii kampeni sijaona kwa mtandao wowote tena balaa zaidi endapo utarudisha laini yako utapata offer ya vifurushi. Afisa masoko ameshagundua kwanini sokoni kunalega lega. Umiza kichwa umiza kichwa baba na wale waliyowekeza hapo vichwa kuuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri Tigo bundle yao inadumu kwa kweli, Vodacom nimenunua 3GB za week nzima zimeisha ndani ya siku tatu? Hapana aiseeee
 

Attachments

  • Screenshot_20200413-155759.png
    Screenshot_20200413-155759.png
    41.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20200413-155837.png
    Screenshot_20200413-155837.png
    26 KB · Views: 2
Heri Tigo bundle yao inadumu kwa kweli, Vodacom nimenunua 3GB za week nzima zimeisha ndani ya siku tatu? Hapana aiseeee
Bora wewe Vodacom nilinunua 1GB for 2000/= per week..the moment nimeingia kusoma msg WhatsApp ndani ya Dakika moja nikapokea msg yakuwa bundle langu limeisha.
Kwenye vodacom labda mnipigie tu I'll never recharge my vodacom line or send money via M-pesa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora wewe Vodacom nilinunua 1GB for 2000/= per week..the moment nimeingia kusoma msg WhatsApp ndani ya Dakika moja nikapokea msg yakuwa bundle langu limeisha.
Kwenye vodacom labda mnipigie tu I'll never recharge my vodacom line or send money via M-pesa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah
 
Bora wewe Vodacom nilinunua 1GB for 2000/= per week..the moment nimeingia kusoma msg WhatsApp ndani ya Dakika moja nikapokea msg yakuwa bundle langu limeisha.
Kwenye vodacom labda mnipigie tu I'll never recharge my vodacom line or send money via M-pesa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine GB7 week ni ndogo hazitoshi wengine GB 1 fresh kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lol hizo voda mnazotumia nyie ni voda zipi?
Bora wewe Vodacom nilinunua 1GB for 2000/= per week..the moment nimeingia kusoma msg WhatsApp ndani ya Dakika moja nikapokea msg yakuwa bundle langu limeisha.
Kwenye vodacom labda mnipigie tu I'll never recharge my vodacom line or send money via M-pesa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sasa sijui. Kitu ninachokifahamu ukijiunga kifurushi voda unatakiwa kuletewa messages kama hizo.
Dah si umeona screen shot hio nimelipa buku tatu, halafu naitafuta siioni tenà hio menu, haiko tena. vodacom najua mko humu njooni mniambie imekuaje??
 
Back
Top Bottom