kamjabari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,132
- 1,640
Mma nkulumba abhombile pafwene akatusyepo atulekele twe bhalumyana.Mwe bhalumyana bha mwa Kyela umwe amukhunghogha Mwakyembe umwe !
Unataka kumng'oa Ndassa mbunge wa kudumu?Jimbo la Sumve, Kuna mbunge toka 1995yupp tu anasema hajazaliwa bado mtu wa kumtoa, nafikiri Ni muda muafaka wa kumtoa akalime pamba.
Momumo NkhamuMma nkulumba abhombile pafwene akatusyepo atulekele twe bhalumyana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Analewa tu bia maeneo ya kinondoniJimbo la Sumve, Kuna mbunge toka 1995yupp tu anasema hajazaliwa bado mtu wa kumtoa, nafikiri Ni muda muafaka wa kumtoa akalime pamba.
Sema unataka kugombea jimbo gani na chama gani ili upate ushauri na Watu wa kukuunga Mkono....
Mimi nagombea Mtera-Dodoma.
Chama-Chadema
2020-2025
Naomba kama naweza kupata ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Tupe namba ya kadi yako ya uanachama na udhibitisho wa kulipa ada za uanachama kila mwaka. Haya ndiyo maswala ya msingi kwao utakayoulizwa. Ha ha haaa! Nakuonaona unavyoanza kubabaika....ha ha ha haaSema unataka kugombea jimbo gani na chama gani ili upate ushauri na Watu wa kukuunga Mkono....
Mimi nagombea Mtera-Dodoma.
Chama-Chadema
2020-2025
Naomba kama naweza kupata ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Jimbo la Sumve, Kuna mbunge toka 1995yupp tu anasema hajazaliwa bado mtu wa kumtoa, nafikiri Ni muda muafaka wa kumtoa akalime pamba.
Kweli kabisa lakini ameweka historia kuandika chochote kwenye Uzi wa Wabunge watarajiwaNothing wrong to think big!
Ukionja unakunywa na maziwa lita moja....halafu tunakutana Bungeni
Chama gani unadhani kitakufaaNatafakari kugombea na kumng'oa Mwakyembe Kyela ( iwapo chama kitaona nafaa )