Umeongea ukwel mkuu yanavutia kwa nje tu ila ukiona mzigo wenyewe utatamani kutapika mana nimekutana na mmoja jana hadi nikajuta sitaki tena mizigo mimi
Mi hata sijashangazwa na hiyo stori sababu yalishanikuta enzi nipo mwaka wa kwanza kipind hicho chuo kikuu kinaheshimika ukitoa id tu ni kama umetoa red card uwanjani yani fasta hata huongei saana but piga kitabu dogo wazuri wanazid kuwa wengi mno utakula hadi mifupa
Vile vile ile kwaya ya kijitonyama upendo group naipenda mno kuna bwana mmoja nafkri ndo main vocalist ila sikuizi wamepoteana ila albam yao ina dumu sana tatzo njia tu ya kurekod ndo ilikua ya kizamani pengine wangepata vifaa vya kisasa mbona wangewaacha wale joyouz celebration wa SA maana ndo...
Sasa nmeanza kupata mashaka na wewe kwa kazi unayofanya
Sasa nikwambie ukweli mwaka jana nmemfanyia application za tcu ndugu yangu ana dv4 na kapangiwa udom sasa wewe sijui umekula maharage ya wap kwako hilo ni jipya:what:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.