shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,896
We kwenda kule wabunge wangapi wengine wametekeleza haya hela wametoa wapi....nenda moshi uone alichofanya ndesamburo........acha ujinga yeye ndiye msimamiaji na kuhakikisha yale aliyoyasema anatekeleza sasa tunaona kila siku bora na miaka 10 iliyopita kweli Mnyika UBUNGO SI SIZE YAKO.....ONA INAKUPWEREPWETA SASA
Halmashauli ya mji wa Moshi ipo chini ya cdm,kwa Kinondoni ipo chini ya ccm,ccm wao ni kukomoa majimbo ya upinzani tu,kwa Mnyika amefanya kazi.