Recent content by Planner

  1. Planner

    Kijana badilika acha huu ujinga mara moja

    Mkuu we umenunua ngapi??[emoji848][emoji848]
  2. Planner

    Cocacola kanda ya ziwa (Mwanza, Shinyanga, Simiyu) hatuwaelewi

    Kwa muda mrefu nimekua mteja mtiifu wa bidhaa zenu. Ila miezi ya karibuni kuanzia mwaka jana mmekua mnafanya mambo ambayo sisi wateja watiifu HATUWAELEWI. Mlianza na kulazimisha kila mtu kunywa vinywaji vya jamii ya Coca (sprite etc) visivyo na sukari, kwa maana ya kua usambazaji ulikua ni more...
  3. Planner

    Tuliokutana na Mtanziko kwa kutumia Uber Tukuje humu

    Irrelevant, umeanzisha hoja tofauti hujajibu hata moja! Kweli hii nchi ya waswahili. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Planner

    Usafiri wa mwendokasi hauna tofauti na usafirishaji wa ng'ombe toka mikoani

    Asante......najiuliza hilo hilo kwani tuliopewa majukumu na Rais tunamsaidiaje kwa kutimiza wajibu wetu???? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Planner

    ATCL kupeleka ndege Afrika Kusini pamoja na Airhostess walikuwa sahihi, tusichukulie kila jambo ni "ufisadi"

    Maelezo meengi ya kusaidia kuelewa taratibu zinazopaswa ila WHAT IS YOUR POINT? Manake hii nchi kila kitu maelezo meengi hadi unasahau mwanzo mtu aliongea nini. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Planner

    Utendaji wa NIMRI haueleweki

    Wadau, Nayaandika haya baada ya kupata mrejesho kutoka kwa mdau wangu ambaye anajishughulisha na masuala ta utafiti. Mdau alituma maombi kwa kwwnda physically miezi 8 iliyopita akiomba kibali cha tafiti a.k. a approval ya protocol.Maajabu anayokutana nayo ni kua kila anapopiga simu au kwenda...
  7. Planner

    DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

    Mnyonge mnyongeni....Mkuu vipi unajua kiwango cha elimu cha mh Muro??
  8. Planner

    DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

    Mkuu ila huyo msomi wetu si ameamua maisha ya teuzi na kukacha kitabu...? Kwa zama hizi mazonge kama hayo hayaepukiki.Ndio maisha aliyochagua.
  9. Planner

    Waziri Lugola akiliangalia gari lililopata ajali msafara Rais Magufuli

    Wazee wa spidi 180.... Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Planner

    Whatsapp gan inavutia zaid(kuwa na option na uwanja mpana zaid)

    Good Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Planner

    Ester Matiko: Nimegundua wapinzani tulimpinga bila sababu Magufuli kafanya suala la maana kwenye DreamLiner

    Kwani wanaopinga sababu wamesema ni mbaya?? Kuna masuala ya priority setting na affordability hayo ndiyo yanayohojiwa.kila mtu anajua ndege ni nzuri Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Planner

    TBC: Kongamano la watanzania waishio Marekani. Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi mgeni rasmi

    Waeleze namna ya kukuza uchumi na mikakati endelevu ya kuboresha maisha..hilo la role ya tz kwa nchi nyingine kua huru imekua ndio wimbo......cement iko 18000 yet hakuna strategy nzuri ya kiuchumi kukabiliana na hili...mfumuko ws bei etc.. sio issue za kutumbia tuko pazuri Sana. Tusifie na kutoa...
  13. Planner

    Pakua Poweramp player isiyo na mpinzani

    Good Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Planner

    Salute kwa waliosoma PCB/PCM

    Mwanaume kamili Azaboy those days unasomaje kombi isiyo na P.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pCm pcb Pgm Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Planner

    Kwa dunia ya sasa, Gari ni moja ya hitaji muhimu sana kwa binadamu

    Ni mambo tu yanavurugika ila gari ni kitendea kazi cha muhimu kuwa nacho..gari ikitumika vzr inakusaidia kuratibu mishe za kukuletea kipato ili ununue ardhi. ILA kuna mentality za kimaskini kua gari ni anasa ..hili naliona hata kwenye mifumo yetu ya kodi ambako unalipa kodi kuingiza gari...
Back
Top Bottom