Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,975
- 453,764
Nimekumiss upoHahah kazi kazi
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Nimekumiss upoHahah kazi kazi
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hahah cheza na EQ kidogo tuHahah ngoja nishushe niyo commet,nina earphone za rock zircon,zinapiga sana nilichukua aliexpress uko,,,hyo commet jamaa why hawajaleta kweny simu?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Nipo mm nimekuwa adimu tu jukwaa hili asante sana na mm nimeidownload hiyo audio playerNipo...umepotelea wapi
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Naona na video inaplay kama audioNipo...umepotelea wapi
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Jamaa sijui kwanini hawakuiendeleza aisee, yani ingekuwepo katika apk ingekuwa haikosi katika simu yangu. Huwa naitumia katika laptop tu nikiwa na kazi nyingi za kiofisi huchoki, ni mikito tu.Hahah ngoja nishushe niyo commet,nina earphone za rock zircon,zinapiga sana nilichukua aliexpress uko,,,hyo commet jamaa why hawajaleta kweny simu?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Jamaa sijui kwanini hawakuiendeleza aisee, yani ingekuwepo katika apk ingekuwa haikosi katika simu yangu. Huwa naitumia katika laptop tu nikiwa na kazi nyingi za kiofisi huchoki, ni mikito tu.
set pattern iwe hivi:
i i
i i
i i
- i i i i i
i i i i
i i i i
hapo gudi utanipa mrejesho tu.Poa poa mkuu..acha nicheki nayo
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Unatumia mtk nini?Nime enjoy Jana ad leo, iv ninavyoongea isha crush,
Imenigomea mazima
Tusaidiane apo wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
LET ME SEEPoweramp is for big boyz mkuu
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ninachojua hii smartphone yangu n android tecno c10Unatumia mtk nini?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Bas sawa ila nime uninstall, then nime install na upya naona imekaa sawa. Dawa itakua n hii tu, ila nikitulia ntailipia almost dollars 3Ndio mtk device hyo..hii apk kweny sim za mtk inaonekana ina shida mkuu..fanya ununue tu hyo app...bei chee
Sent from my SM-G920P using Tapatalk