Planner
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 348
- 148
dah watu wa iphone tunapata tabu sana
iphone ipo Whats App + + nawza kukuwekea kwa Simu yako ni nzuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
ulitumia njia kuweka bossniliwahi ku download tatizo inazingua tu baada ya siku 24
basi katika hili wanaume wa dar watakuwa advanced, GB WhatsApp mambo za kitoto hizo na chicks, urembo urembo mwingi, mtu unakuta anaficha mpaka green tick isitokee sasa ili iweje kama sio utoto, kifupi haina feature yoyote ya maana.
Nimemjibu mleta mada kama alivyohitaji mkuuTatizo hii inasumbua Back-Up kwenye Drive, haina tuseme tu!
Na wengine kuishi bila kuwa na Back-up ya conversations za nyuma ni hatari sana....
Ila mwisho wa siku sidhani kama ni sahihi mwanaume uliyepevuka kutumia GB Whatsapp inapunguza kuaminiwa na jinsia Ke
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio nzuri zaidi wanaosema GB whatsapp hawajawahi kutumia nii na siku wakitumia hii gb whatsapp wataisahau milele. Mfano hii ina anti-delete msg yani mtu kaandika msg then akaifuta ila kwako bado ipo kwa gb whatsapp niliyokua natumia kipindi kile option hii haikuwepo sijui kwa sasa
Mb 50 mwisho kutuma video GB whatsaap lakini Yoa wao mpaka mb 200 hivyo hivyo kwa picha na kwa audio piaHii ndio nzuri zaidi wanaosema GB whatsapp hawajawahi kutumia nii na siku wakitumia hii gb whatsapp wataisahau milele. Mfano hii ina anti-delete msg yani mtu kaandika msg then akaifuta ila kwako bado ipo kwa gb whatsapp niliyokua natumia kipindi kile option hii haikuwepo sijui kwa sasa
Hii ina options nyingi kuliko GB uzuri nilitumia sana GB kabla sijahamia kwenye YoWhatsapp na tofauti ipo kubwa sana, GB bado kuna vitu vingi haina uki compare na Yo
Mbona hata hiyo inaficha vizuri tu, mimi last seen yangu siruhusu mtu haione.. Ya nini sasa na uione ili iweje!Mimi natumia hii official version ambayo ipo playstore..
Hii GB whatsapp hapana iisèeh maana unakuta mtu anaficha last seen kama vile kuna kitu special kuhusu last seen au mtu anaficha blue tick kama vile kuna tuzo zinagawiwa wakati wakina chenge wako busy kuficha pesa zetu walizoiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni maamuzi yenu tu mkuu, swala la kupamba ni mtu hadi uamue kuifanyia personalization, ninacho pendea gb ni anti revoke tu. Mengine yote sijayagusaGB WhatsApp imekaa kikekike kama Instagram na snap chat, wanaume tunatumia official, iyo GB WhatsApp mapambo kibao personalization tumewaachia wadada wafanye make up hadi conversation