Cocacola kanda ya ziwa (Mwanza, Shinyanga, Simiyu) hatuwaelewi

Planner

JF-Expert Member
Apr 5, 2011
348
148
Kwa muda mrefu nimekua mteja mtiifu wa bidhaa zenu. Ila miezi ya karibuni kuanzia mwaka jana mmekua mnafanya mambo ambayo sisi wateja watiifu HATUWAELEWI. Mlianza na kulazimisha kila mtu kunywa vinywaji vya jamii ya Coca (sprite etc) visivyo na sukari, kwa maana ya kua usambazaji ulikua ni more of sugar free huku mki discourage kusambaza zenye sukari.

Naelewa umuhimu wa ku control ulaji wa sukari, ila nachowashangaa ni nani alifanya utafiti akawaambia kila mtu anataka au anatatizo la sukari ili mlazimishe wauzaji wa reja reja wauze aina hiyo tu? Mpaka mlipoona mnakimbiwa ndio mmeturudishia ladha yetu ya asili.

Ni kama hamsomi mchezo kwa watani wenu wa jadi Pepsi, wenzenu wanatoa zote za sugar free/zero na ili wateja tujimwage.

Hamjaishia hapo, mmerudisha za sukari ila muda mwingine ladha haieleweki as compared na coca ya Kwanza au Bonite! nawaambia haya kwa nia nzuri tu mnapoelekea mtaona mauzo vs wapinzani wenu yakoje, sielewi watu wa kitengo cha utafiti na masoko kama mnayo hata namna ya kupata feedback kutoka kwa wateja au mnatuchukulia poa bangosha na vankima.

Endeleeni kukaza shingo mtaelewa nguvu ya soko!
 
Siku hizi wameacha kulazimisha kununua yale maji yao ya dasani?

Waache wapi, kituko kingine wameanzisha maji makubwa ya lita kumi na kitu ya kilimanjaro kama kadumu ila sasa hayana ubora kama ya chupa ya kawaida, hawa jamaa wa kanda hii sijui wakoje! Wanajifanyia sijui wanawachukulia poa Wasukuma au...acha wanyooshwe na jamukaya jambo products!
 
Waache wapi, kituko kingine wameanzisha maji makubwa ya lita kumi na kitu ya kilimanjaro kama kadumu ila sasa hayana ubora kama ya chupa ya kawaida, hawa jamaa wa kanda hii sijui wakoje! Wanajifanyia sijui wanawachukulia poa Wasukuma au...acha wanyooshwe na jamukaya jambo products!


Jamani jamani Jamukaya mie Nampa handsup!..duh..ameteka Kanda kwa volume kubwa Sana aisee
 
Waache wapi, kituko kingine wameanzisha maji makubwa ya lita kumi na kitu ya kilimanjaro kama kadumu ila sasa hayana ubora kama ya chupa ya kawaida, hawa jamaa wa kanda hii sijui wakoje! Wanajifanyia sijui wanawachukulia poa Wasukuma au...acha wanyooshwe na jamukaya jambo products!

Jambo kaikamata lake zone, mpaka mikoa ya kaskazini amesambaza. Dar akifika watasambaratishwa wote mpaka baba yao Kilimanjaro.
 
Kwa muda mrefu nimekua mteja mtiifu wa bidhaa zenu.Ila miezi ya karibuni kuanzia mwaka jana mmekua mnafanya mambo ambayo sisi wateja watiifu HATUWAELEWI. Mlianza na kulazimisha kila mtu kunywa vinywaji vya jamii ya Coca (sprite etc) visivyo na sukari, kwa maana ya kua usambazaji ulikua ni more of sugar free huku mki discourage kusambaza zenye sukari.

Naelewa umuhimu wa ku control ulaji wa sukari, ila nachowashangaa ni nani alifanya utafiti akawaambia kila mtu anataka au anatatizo la sukari ili mlazimishe wauzaji wa reja reja wauze aina hiyo tu?Mpaka mlipoona mnakimbiwa ndio mmeturudishia ladha yetu ya asili.

Ni kama hamsomi mchezo kwa watani wenu wa jadi Pepsi, wenzenu wanatoa zote za sugar free/zero na ili wateja tujimwage.

Hamjaishia hapo, mmerudisha za sukari ila muda mwingine ladha haieleweki as compared na coca ya Kwanza au Bonite! nawaambia haya kwa nia nzuri tu mnapoelekea mtaona mauzo vs wapinzani wenu yakoje, sielewi watu wa kitengo cha utafiti na masoko kama mnayo hata namna ya kupata feedback kutoka kwa wateja au mnatuchukulia poa bangosha na vankima.

Endeleeni kukaza shingo mtaelewa nguvu ya soko!

Za wenye sukari hazina test kabisa, zilipoadimika za zamani nikastop kunywa
 
Back
Top Bottom