lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Habari wana jf!
Adha wanayopata wasafiri jijini D'saalam kwakutumia usafiri wa mabasi ya mwando kasi,hauna tofauti sana na magari ya Ng'ombe toka mikoani.
Kama afya mgogoro utakaa sana kituoni,na ukibahatika kuingia utapumua kwa kazi kubwa kwaajili ya mbanano.
Kituoni unaweza subiri SAA nzima bila kupata Gari la kule unakoenda.
SERIKALI IRUHUSU BASI ZA ABIRIA BARABARA ZOTE ZINAZOTUMIKA NA MWENDO KASI
Kulikuwa hakuna haja ya kuzuwia usafiri wa awali kwa kutegemea mabasi ya mwendo kasi ambao haikujulikana kama utatosheleza mahitaji .
Rais magufuli, tunakuomba uliangalie tatizo hili la kuzuwia daladala za kwenda mjini kwa kutegemea hayo mabasi ambayo ni machache sana.
RUHUSU DALADALA KWA IDADI YA MAHITAJI ILI ADHA IONDOKE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Adha wanayopata wasafiri jijini D'saalam kwakutumia usafiri wa mabasi ya mwando kasi,hauna tofauti sana na magari ya Ng'ombe toka mikoani.
Kama afya mgogoro utakaa sana kituoni,na ukibahatika kuingia utapumua kwa kazi kubwa kwaajili ya mbanano.
Kituoni unaweza subiri SAA nzima bila kupata Gari la kule unakoenda.
SERIKALI IRUHUSU BASI ZA ABIRIA BARABARA ZOTE ZINAZOTUMIKA NA MWENDO KASI
Kulikuwa hakuna haja ya kuzuwia usafiri wa awali kwa kutegemea mabasi ya mwendo kasi ambao haikujulikana kama utatosheleza mahitaji .
Rais magufuli, tunakuomba uliangalie tatizo hili la kuzuwia daladala za kwenda mjini kwa kutegemea hayo mabasi ambayo ni machache sana.
RUHUSU DALADALA KWA IDADI YA MAHITAJI ILI ADHA IONDOKE.
Sent using Jamii Forums mobile app