Binafsi
Ninaguswa na matatizo ya Kabendera, kama binadamu, kama Mtanzania, na kama mtu wa kawaida,
Ila nilishasema humu ndani, mwanzoni, kuwa Kabendera, alinikosea hata mimi kama Mtanzania wa kawaida, Siku zote kama nchi tunatafuta kupata milleage kwenye international media, ziongee mazuri...
Ufikiri wa jamii, na wewe ukiwemo ndio shida, hakuna kazi za walioelimika na wasioelimika, shuleni huwa tunaenda kusoma ili kupanua mawazo yatakayo tusaidia katika kuendesha maisha yetu.
Sasa hizi degree tunasomea, mengi ni mambo ya utawala, ndipo unajikuta umesomea, utawala wa biashara, au...
JB, alitoka akiwa Teen, na fans wa mziki ma craxy dunia nziam wanakuwaga ni teens, sasa wakirelate nae, huyo mtu anakuwa mkubwa sana. sasa as he grows, wale die hard fans wake nao wanagrow, ndo hapo uwezo wake wa kubaki relevant kwenye game, kwa kuhamasisha generation mpya ya teen wapya...
Tuzo zinakuwaga na category nyingi, lakini sote tunajua kuwa baadhi ya category ni sindikiza category, watu wote huangalia zile main category na ndizo jina la zinazobeba tuzo. EG. Best artist of the year, song of the year, collabo of the year, video of the year, Producer of the year,Video...
Takribani mwezi au wiki mbili tatu mfululizo, Clouds Fm wamekuwa wakiendesha mjadala redioni unaoangazia mambo kadha wa kadha ya game ya muziki wa Bongo Fleva, tangu kuasisiwa kwake.
Mijadala hii, iliyopewa jina la Bongo Fleva Round table, inayofanyika jumamosi kwenye kipindi cha Bongo Fleva...
N'yadikwa,
Hiv kuchafua ukristo ndo kufanya nini? kama wenyewe ndio umewalea hivyo, wao kuuishi ni kosa? Labda inabid ukristo ukiri kuwa kuna mahali unakosea katika malezi.
Uchaguzi wa ndani wa chama cha Demokrasia na Maendeleo ni jambo linalofuatiliwa kwa ukaribu sana, na makada wa CCM, ndani na nje ya serikali, jambo ambalo wana CHADEMA wamekuwa kama hawaelewei elewi kwa nini hili jambo ni muhimu kwa wana CCM.
Wapo wana CHADEMA wanaodhani kuwa CCM wanafuatilia...
Kuna jambo moja tu ambalo binadamu ana uhakika nalo hapa Duniani, nalo ni kuwa, kuna siku atakufa.
ushahidi wa kisayansi, kihistoria, kigeografia, kibiolojia na had kikemia,wote unathibitisha kuwa, mwanadamu kufikisha miaka 150 ni mtiti.
So wote tutakufa siku moja, wosia sio uchuro wala sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.