ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
- Thread starter
- #61
sasa Mbona wanaija wao wana suffer ilhali utaalam wanaoWaganga wake ni wanaijeria Wa abuja.
sasa Mbona wanaija wao wana suffer ilhali utaalam wanaoWaganga wake ni wanaijeria Wa abuja.
Uachage uongo mkuuYesu ndo anashikilia rekodi ya habari zake kutafutwa Zaid Google, haijawah kuvunjwa hyo rekod na haitawah , wengne wanashikilia rekod kutokana na tasnia Yao mfano Raisi aliyetafutwa Zaid, mwanamziki, mwanamichezo n.k, but overall only Jesus christ
ndo kitu gani tena hiyo lgbtq ?Huyo Taylor Swift wamempa kazi maalumu ya kupromoti lgbtq society ndio maana wana mpaisha.
haha huyo aliyesema yesu yuko wapUachage uongo mkuuView attachment 1283088
ndo kitu gani tena hiyo lgbtq ?
anhaa OK shukraniNi jamii ya mashoga, wasagaji, waliobadili jinsia zao, na wenye jinsia zisizoeleweka
karibuNaweka alama nitarudi
watanzania watu hatari sana
Darling..!!!😦😦Me nakuona kama wewe ndie wa kolomije unayejaribu kuuvaa udarisalama,
Darling, kila mtu na msanii wake sasa kama wewe unamuelewa zaidi fulani na mwingine anamuelewa zaidi fulani, usilazimishe wote wawe na mtazamo wako.
Mf mimi katika hao woote waliotajwa hakuna wa kumfikia Callum Scot na Sam Smith, ndio niwapendao.
The shit goes to Taylor ana mashabiki wake lakini huwezi niambie nichague Taylor over Rihanna japo Riri anamkubali Taylor.
Kwamba Justin B hajiu ?Mvuto ni kipaji? Ebu nifafanulie kidogo umeniacha hapo
JB, alitoka akiwa Teen, na fans wa mziki ma craxy dunia nziam wanakuwaga ni teens, sasa wakirelate nae, huyo mtu anakuwa mkubwa sana. sasa as he grows, wale die hard fans wake nao wanagrow, ndo hapo uwezo wake wa kubaki relevant kwenye game, kwa kuhamasisha generation mpya ya teen wapya inapohitajika. sasa ukishindwa basi unapoteaNajua ni wengi huwa tunajiuliza swali hili la kwanini Justin Bieber alikuwa anachukuliwa kwa ukubwa ule licha ya kuwapo pure talents kama Jason Derulo & Chris Brown ambao kimsingi hawagusi hao jamaa hata kuwa karibia tu.
Je, ni michezo ya kisiasa? (Polimusics (musics politics))
Maswali ni mengi naomba mwenye uelewa atujuze kunani behind Justin Beiber na kwanini amepotea now?
Karibuni.
Ni kama barnaba nahisi ananyota ya punda yuleKipaji, kuvutia mashabiki wengi pia ni kipaji, unaweza ukawa unaimba songi kali ila usiwe na mashabiki wengi.
Kazeeka auNdio chris kawa wakawaida skuhizi
Kweli,,ata Instagram yupo juu kwa kuwa na followers weng.
UmriNajua ni wengi huwa tunajiuliza swali hili la kwanini Justin Bieber alikuwa anachukuliwa kwa ukubwa ule licha ya kuwapo pure talents kama Jason Derulo & Chris Brown ambao kimsingi hawagusi hao jamaa hata kuwa karibia tu.
Je, ni michezo ya kisiasa? (Polimusics (musics politics))
Maswali ni mengi naomba mwenye uelewa atujuze kunani behind Justin Beiber na kwanini amepotea now?
Karibuni.
Breezy na Jigga nani mzee?Kazeeka au
Wakuhurumiwa wewe.Darling..!!!