Ukubwa wa kisanaa wa Justin Bieber ulisababishwa na nini? Je, kuna namna tu au kipaji?

Yesu ndo anashikilia rekodi ya habari zake kutafutwa Zaid Google, haijawah kuvunjwa hyo rekod na haitawah , wengne wanashikilia rekod kutokana na tasnia Yao mfano Raisi aliyetafutwa Zaid, mwanamziki, mwanamichezo n.k, but overall only Jesus christ
Uachage uongo mkuu
Screenshot_2019-12-06-00-24-02.jpeg
 
Huyu dogo ile video yake ya baby ina views milio 10 na dislike milion 10😂😂
 
Me nakuona kama wewe ndie wa kolomije unayejaribu kuuvaa udarisalama,

Darling, kila mtu na msanii wake sasa kama wewe unamuelewa zaidi fulani na mwingine anamuelewa zaidi fulani, usilazimishe wote wawe na mtazamo wako.

Mf mimi katika hao woote waliotajwa hakuna wa kumfikia Callum Scot na Sam Smith, ndio niwapendao.

The shit goes to Taylor ana mashabiki wake lakini huwezi niambie nichague Taylor over Rihanna japo Riri anamkubali Taylor.
Darling..!!!😦😦
 
BABY NDO NGOMA YENYE DISLIKE NYINGI ZAIDI YOUTUBE. MANAGEMENT INAYOMSIMAMIA PIA INAJUA KUFANYA KAZI.
 
Najua ni wengi huwa tunajiuliza swali hili la kwanini Justin Bieber alikuwa anachukuliwa kwa ukubwa ule licha ya kuwapo pure talents kama Jason Derulo & Chris Brown ambao kimsingi hawagusi hao jamaa hata kuwa karibia tu.

Je, ni michezo ya kisiasa? (Polimusics (musics politics))

Maswali ni mengi naomba mwenye uelewa atujuze kunani behind Justin Beiber na kwanini amepotea now?

Karibuni.
JB, alitoka akiwa Teen, na fans wa mziki ma craxy dunia nziam wanakuwaga ni teens, sasa wakirelate nae, huyo mtu anakuwa mkubwa sana. sasa as he grows, wale die hard fans wake nao wanagrow, ndo hapo uwezo wake wa kubaki relevant kwenye game, kwa kuhamasisha generation mpya ya teen wapya inapohitajika. sasa ukishindwa basi unapotea
 
Kweli,,ata Instagram yupo juu kwa kuwa na followers weng.

Sio kweli kuna kipindi aliwai ongoza akajitoa Ig kwa muda akaacha gap kubwa apo now Cr 7 ndo anashikilia kwa kua na followerz weng , lakini pia Taylor, beyonce, serena gomez hawa ndo wanashikilia rekodi ya kuwa na followerz wengi kwa sasa then dogo ndo ananyemelea kwa nyuma apo

Tukijikita kwenye mada mi nais dogo kilicho mbeba ni umri wake kwanza utofauti wa sauti yake na wengine ukiskiliza dogo anasauti flani ndogo yaani nyembamba inayopenya vzr maskioni then mwisho Management alipata nzuri iliyoweza kutengeneza funbase kubwa na die hard funs kunakipindi nlikua nkiingia Ig yake upande wa Comment watoto wa kike wanafunguka kumtaka kimapenzi
 
Najua ni wengi huwa tunajiuliza swali hili la kwanini Justin Bieber alikuwa anachukuliwa kwa ukubwa ule licha ya kuwapo pure talents kama Jason Derulo & Chris Brown ambao kimsingi hawagusi hao jamaa hata kuwa karibia tu.

Je, ni michezo ya kisiasa? (Polimusics (musics politics))

Maswali ni mengi naomba mwenye uelewa atujuze kunani behind Justin Beiber na kwanini amepotea now?

Karibuni.
Umri
 
Back
Top Bottom