Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,335
- 6,617
Pole, Mkuu umefikisha miaka 45 kwenda juu?
Ha ha ha ha inaonekana kuna mtu kila mwezi jina lake linaingia na kutoka
Ndiwooo jamani
Pombe nimepunguza, nakunywa mara 3 kwa wiki. Nyama nakula kitimoto tu mbuzi nimeacha
Hahaha acha mitungi kabisa sio upunguze, huwa hainaga faida yoyote zaidi ya hasara (take it from me)...
Kitimoto sasa nayo si wale wale tu NAKWEDE
Ndo ufe? HahaAhsante Dr.
Yanauma sana, kuchuchumaa ni shida.
Duh ilikuwa daily hiiPombe nimepunguza, nakunywa mara 3 kwa wiki. Nyama nakula kitimoto tu mbuzi nimeacha
Wa kupunguzwa hao itabd nifanye research... Maana kutolewa kwenye urithi sio shuhuli ndogo
Kuna ambao nawapunguzia pia
Pia kunywa maji mengiAhsante Dr.
Yanauma sana, kuchuchumaa ni shida.
Nimeshavuka, mie huyu hapa pichani!Pole, Mkuu umefikisha miaka 45 kwenda juu?