Recent content by pex

  1. P

    Bashe umekosea kwenye Food Security!

    Ghui8uy ãttfyyt6
  2. P

    Msaada: Mpenzi wangu ananuka kinywa

    Mpeleke kwa dentist. Unaweza kuta ni sababu ya meno kutoboka.
  3. P

    Msaada wenye uzoefu na mambo ya magari

    Angalia pia kifaa kinacho control oxygen ya gari kwenye engine kitakuwa na shida. Jaribu kubadili ulete mrejesho!
  4. P

    Dawa ya huu ugonjwa msaada

    Inawezekana pia ikasababishwa na minyoo wengi tumboni. Sumu wanayotoa inasababisha ngozi kuwasha ktk baadhi ya maeneo ya mwili na ukijikuna hali ndio inakuwa hivyo
  5. P

    Matatizo ya Flat Screen TV: Umeishakumbana nayo?

    Ninayo sumsang niliitumia kama miaka 4 hivi. Baadae haikutumia kama miezi mitatu. Nilivyokuja kuiwasha ikawa haitoi picha vizuri kama ina ukungu ndani sijui tatizo ni nini.
  6. P

    Learn Real English: In Only 6 Months!!

    Thanks for sharing.
  7. P

    Njoo tujadili ufundi wa vifaa vya umeme kama vile tv,redio n.k

    Flat screen yangu sijaitumia muda...nimeiwasha hivi majuzi inaonesha kama kuna ukungu ndani ya kioo. Msaada wadau!
  8. P

    Fedha 'zilizofichwa' zitarudishwaje kwenye mzunguko? Wataalamu wa uchumi tiririkeni

    Mkuu waongeze na mishahara kwa wafanyakazi wa Serikali impact yake katika kuongeza mzunguko wa fedha ni kubwa.
  9. P

    Kitwanga aponda ndege mpya za ATCL mwanzo mwisho

    Nadhani kuna haja ya kuipa muda Serikali katika jitihada zake za kufufua ATCL. Tukianza ku-criticise sasa hivi hata operation zenyewe shirika halijaanza tutakuwa hatuwatendei haki watawala. Maana hakuna mwenye uhakika kama approach waliyoitumia kulifufua shirika itakwama pasipo kuwapa muda...
  10. P

    Dkt. Kimei(CRDB): Hali ya uchumi nchini ni tete

    Kinachotakiwa sasa ni transition kwa serikali kuacha kuwa ndio mlaji mkubwa wa huduma za sector binafsi kama hotel n.k kwenda kwa watu binafsi. Kwa maana nyingine serikali iangalie namna ambavyo itaongeza mzunguko wa fedha kwa mtu mmoja mmoja ili kuendelea kui support sector binafsi. Moja ya...
  11. P

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Ujenzi ni safari ambayo huwa haina mwisho ukiianza. Hata ukimaliza finishing bado huwa kuna marekebisho ya hapa na pale provided kwamba mfuko unaruhusu. Lakini pia muda unavyozidi kwenda nyumba nayo inachakaa na inahitaji marekebisho madogo madogo. Hivyo suala la kufanya maamuzi na kuinua boma...
  12. P

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Mkuu Ushirombo hebu tupe hiyo elimu ya mashimo ya choo tufaidike wote. Watakayovutiwa nayo watakutafuta na si mtoa uzi pekee. Hiyo ndio faida ya kushiriki uzi kama huu. Watu wanapeana elimu na kubadilishana ujuzi:)
  13. P

    Tushare game za android

    Naomba trick ya play hii game tafadhali. Kila nikijaribu naishia level ya chini.
  14. P

    Wasifu wa Agnes Marwa, Mbunge wa CCM aliyekataa Bunge Live

    Tatizo ni mfumo. Suala la viti maalum linapaswa kuangaliwa upya!
  15. P

    Ni Wakati Muafaka kwa Serikali Kulisaidia Kundi Hili la Vijana Lililosahaulika

    Kuna wimbi la vijana wengi mtaani wasio na kazi. Wengi wao aidha ni kutokana na kufeli masomo shuleni na wengine ni kukosa fursa za kufanya kazi. Nguvu kazi hii ni kubwa na ni hasara kwa serikali ikiiacha ipotee. Lakini pia utakuwa ni mzigo kwa Serikali siku zijazo. Tukumbuke kuwa idadi kubwa ya...
Back
Top Bottom