Bashe umekosea kwenye Food Security!

Nimetangulia kwa kumsahihisha na kuweka key concepts unapoongelea food security.
Haya ya kumbeza ni siasa za kawaida hivyo usiteseke!
Mkuu, kinachonitesa binafsi ni kuona kuwa nchi yetu imejaa wasomi wasiolisaidia taifa kwenye fani zao, badala yake wanageuka kuwa walalamikaji na wakosoaji wakubwa bila kutoa suruhisho.

Bashe amepewa nafasi ya kutoa mchango wake kwenye nafasi nyeti ambayo hata Rais mwenyewe ni kama amemtega!. Kama una mawazo mazuri ya kujenga, tafadhari mpenyezee kijana mwezio ili tutoke hapa tulipo.... Hata ikiwezekana mtafute umpe mawazo mapya, naamini atakuwa tayari kupokea ushauri wako na wadau wote wanaochangia uzi huu.
 
Kutafuta dosari na kukosoa wengine katika wayafanyayo ni kazi rahisi sana.

Urahisi huo unatokana na ukweli wa kwamba hakuna kitu wala mtu aliye timilifu.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, chochote utachojisikia kukikosoa au kukitoa dosari, utaweza kufanya hivyo.

Sasa Bashe kapewa mamlaka na majukumu. Kilichobakia ni kusubiri kuona kama yeye yuko tofauti sana na sisi watu wengine [tulio na kasoro nyingi].

Tutaona sasa kama ataweza kufanya kazi tofauti na waliomtangulia na sambamba na ule ukosoaji wake kabla hajapewa haya madaraka.
Bashe naye alifanya hayo unayoyaonya hapa, alikosoa sana waliokuwa madarakani, naye hakusubiri kuona matokeo ya wenzake. Alikosoa wenzake tangu mwanzo hadi alipopewa madaraka. Hivyo utaona kwamba wanaomkosoa hawafanyi tofauti sana na Bashe mwenyewe. Tofauti ninayoiona, yeye alikosoa bungeni na kwenye mitandao. Lakini hawa wanamkosoa huku mitandaoni tu.
Critics hawataisha,kumbuka hizi ni harmless opinions tu.
 
Bashe yuko sahihi analenga kuinua kipato na hali ya maisha ya mkulima,mkitaka hayo mbayosema toeni ruzuku kwenye kilimo la sivyo mlaaniwe maana inaonekana mnafurahia sana hali mbaya aliyonayo mkulima
Sasa wewe ni wakueleweshwa taratibu maana kwa ulivyoandika uko sahihi kwa watu wenye uelewa mdogo.

Ni hivi!Asilimia 80 ya watanzania ni wakulima ila kile wanacholima hakiwatoshelezi hata wao wenyewe!

Mkulima anaweza kuinuliwa hatua kwa hatua, kuanzia elimu, mbegu, madawa, miundombinu, tecknolojia,masoko, n.k

Kazi hii ilikwisha anza ila haijawekewa mkazo.
In the mean time, Watanzania lazima wapate chakula.
Jukumu la kwanza la msingi la serikali ni kuhakikisha mwananchi anapata mahitaji matano/sita ya msingi na hii inategemea unaangalia hierarchy of needs ipi?

Hivyo kutoa chakula chote nje kwakuwa bei ipo juu na soko lipo sio ushujaa ni ujuha!
Ni kutokutambua wajibu wa serikali kwa watu wake.
 
Bashe naye alifanya hayo unayoyaonya hapa, alikosoa sana waliokuwa madarakani, naye hakusubiri kuona matokeo ya wenzake. Alikosoa wenzake tangu mwanzo hadi alipopewa madaraka. Hivyo utaoba kwamba wanaomkosoa hawafanyi tofauti sana na Bashe mwenyewe. Tofauti ninayoiona, yeye alikosoa bungeni na kwenye mitandao. Lakini hawa wanamkosoa huku mitandaoni tu.
Critics hawataisha,kumbuka hizi ni harmless opinions tu.

Sawa.

Lakini kuna tofauti.

Yeye alikuwa anaikosoa sana serikali alipokuwa nje.

Sasa kaingizwa ndani ya serikali.

Ndo nami nasema, tuone sasa kama ataweza kuyageuza hayo maoni yake mengi alokuwa nayo kabla ya kuingizwa serikalini na kuwa vitendo.

La sivyo, isije kuwa ndo yale yale mambo ya ‘kusema ni rahisi kuliko kutenda’.
 
Sasa wewe ni wakueleweshwa taratibu maana kwa ulivyoandika uko sahihi kwa watu wenye uelewa mdogo.

Ni hivi!Asilimia 80 ya watanzania ni wakulima ila kile wanacholima hakiwatoshelezi hata wao wenyewe!

Mkulima anaweza kuinuliwa hatua kwa hatua, kuanzia elimu, mbegu, madawa, miundombinu, tecknolojia,masoko, n.k

Kazi hii ilikwisha anza ila haijawekewa mkazo.
In the mean time, Watanzania lazima wapate chakula.
Jukumu la kwanza la msingi la serikali ni kuhakikisha mwananchi anapata mahitaji matano/sita ya msingi na hii inategemea unaangalia hierarchy of needs ipi?

Hivyo kutoa chakula chote nje kwakuwa bei ipo juu na soko lipo sio ushujaa ni ujuha!
Ni kutokutambua wajibu wa serikali kwa watu wake.
Hivi wewe unazani ni ujuha kusaidia mkulima ila kumpa hizo unazozita basic needs ,kama elimu ambayo hata huyo unayetaka asaidiwe anapema pia ,unatakiwa kujua kuwa mkulima siyo kazi yake kuhakikisha mfanyabiashara anakula.ndio maana hata maduni huwa hatupagi kuwa bidhaa tununue kias Fulani ,kinachofanyika ,mfanyabiashara huangalia faida ya kazi yake then anapanga bei,
Mkulima angeulizwa hiv mahind yako ukiuza shilling ngapi unapata faida kulingana na gharama uliyotumia hapo ,ingekuwa sawa !
 
Sasa wewe ni wakueleweshwa taratibu maana kwa ulivyoandika uko sahihi kwa watu wenye uelewa mdogo.

Ni hivi!Asilimia 80 ya watanzania ni wakulima ila kile wanacholima hakiwatoshelezi hata wao wenyewe!

Mkulima anaweza kuinuliwa hatua kwa hatua, kuanzia elimu, mbegu, madawa, miundombinu, tecknolojia,masoko, n.k

Kazi hii ilikwisha anza ila haijawekewa mkazo.
In the mean time, Watanzania lazima wapate chakula.
Jukumu la kwanza la msingi la serikali ni kuhakikisha mwananchi anapata mahitaji matano/sita ya msingi na hii inategemea unaangalia hierarchy of needs ipi?

Hivyo kutoa chakula chote nje kwakuwa bei ipo juu na soko lipo sio ushujaa ni ujuha!
Ni kutokutambua wajibu wa serikali kwa watu wake.
Nani huyo juha wa kutoa chakula chote nje? Ziada ndio inatolewa kuuzwa na serikali ikipata masoko ndio wakulima huwa wanapata bei nzuri inapokuja kununua
Taratibu za kumtengenezea mkulima mazingira nafuu ya kilimo tangu uhuru hakuna kinachofanyika afu wewe unasema nini? Wewe umeajiliwa kwa jasho langu afu unapopoma tuu hapa na kujifanya msomi kalime na wewe,acha soko litutengenezee mazingira ya unafuu nyie wa salary slip mumeshindwa
Unakuta eti mjini kuna afisa kilimo sijui mifugo mnalima nini hapo mjini hata shamba hamlijui
 
Kwa sasa hivi toka amekuwa naibu Waziri, kwenu ninyi kila kitu ataonekana kachemka tu.
Nimemsikiliza Bashe- Naibu waziri kilimo akielezea food security, well, amechemka sana!
Dhana ya food security haiko tu katika individual economic ability to purchase basic food stuffs kama alivyoielezea Bashe.

Food security imekuwa karibu na definitions 200 na zote zinabeba yafuatayo;
1.Physical, socia and economic ability to access and purchase basic food stuffs.
2.Availability of those basic food stuffs.
3.Ability to meet expanding food needs and offsetting fluctuations in production and prices.

Mpaka hapo nadhani atapata shule kidogo.
Pili, kumfananisha mkulima na mfanyabiashara ni kukosea sana.
Kilimo ni sekta inayopewa ruzuku sana na serikali. Umewahi kusikia mfanyabiashara akipewa ruzuku?
Unadhani ni kwanini ruzuku nyingi kutoka serikalini zinaenda kwenye kilimo?

Bashe yuko very confident but his understanding of issues is erratic at best!
 
Nani huyo juha wa kutoa chakula chote nje? Ziada ndio inatolewa kuuzwa na serikali ikipata masoko ndio wakulima huwa wanapata bei nzuri inapokuja kununua
Taratibu za kumtengenezea mkulima mazingira nafuu ya kilimo tangu uhuru hakuna kinachofanyika afu wewe unasema nini? Wewe umeajiliwa kwa jasho langu afu unapopoma tuu hapa na kujifanya msomi kalime na wewe
Anazani yeye Yuko sahihi anashindwa kuelewa kuwa pale mkulima anapotumbikia shimon huwa hakuna wa kumwangalia ,Kama pembejeo zingeunzwa bei dogo ingekuwa sawa sasa pembejeo juu afu yeye anabwabwaja
 
Bashe yupo sahihi. mkulima anategemea kilimo chake kujenga, kusomesha , matibabu etc. Hivyo ana haki ya kupata faida kwenye kazi yake. Na tukitaka uwekezaji kwenye kilimo uongezeke na kilimo kiwe ajira lazima tukiendeshe kibiashara. kutakuwa na ongezeko na upungufu kwa muda lakini baadaye uzalishaji utakuwa sana. Katika mawaziri wote wa kilimo naona Bashe ndiye anataka kuleta mabadiliko ya kweli.
 
Sawa.

Lakini kuna tofauti.

Yeye alikuwa anaikosoa sana serikali alipokuwa nje.

Sasa kaingizwa ndani ya serikali.

Ndo nami nasema, tuone sasa kama ataweza kuyageuza hayo maoni yake mengi alokuwa nayo kabla ya kuingizwa serikalini na kuwa vitendo.

La sivyo, isije kuwa ndo yale yale mambo ya ‘kusema ni rahisi kuliko kutenda’.
Siku zote ni rahisi kusema kuliko kutenda. kukosoa ni kukosoa tu haijalishi uko ndani au nje.Bashe aliona wenzake wanakosea naye hakuwa na subira, sioni kwanini hawa wanaomkosoa sasa wao wasubiri.
Maoni yake ni mazuri masikioni lakini kuyatenda au kuyapa uhalisia sio kazi rahisi. Wanasema mchawi mpe mwana akulelee, kapewa amlee sasa.
Watanzania wote hatuna subira, tunataka matokeo overnight, au haraka zaidi ya sasa(now).
Akikosolewa ni sahihi sio kwasababu yeye alikosoa, bali mengine yana mjenga na kumpa uelewa wa kuchagua approach gani aitumie. Wananchi kama yeye alivyo wanaona wamechelewa tayari, wanataka hizo changes yesterday.
Hatujali itazitoa wapi na lini, tunataka mabadiriko hayo, nijuu yake sasa ku transform idea zake into reality kwa speed ya radi.
Binafsi naona Magufuli alichelewa sana kumpa nafasi hii, ilipaswa ampe mapema ili akishindwa ku deliver akae kimya kabisa.
 
Siku zote ni rahisi kusema kuliko kutenda. kukosoa ni kukosoa tu haijalishi uko ndani au nje.Bashe aliona wenzake wanakosea naye hakuwa na subira, sioni kwanini hawa wanaomkosoa sasa wao wasubiri.
Maoni yake ni mazuri masikioni lakini kuyatenda au kuyapa uhalisia sio kazi rahisi. Wanasema mchawi mpe mwana akulelee, kapewa amlee sasa.
Watanzania wote hatuna subira, tunataka matokeo overnight, au haraka zaidi ya sasa(now).
Akikosolewa ni sahihi sio kwasababu yeye alikosoa, bali mengine yana mjenga na kumpa uelewa wa kuchagua approach gani aitumie. Wananchi kama yeye alivyo wanaona wamechelewa tayari, wanataka hizo changes yesterday.
Hatujali itazitoa wapi na lini, tunataka mabadiriko hayo, nijuu yake sasa ku transform idea zake into reality kwa speed ya radi.
Binafsi naona Magufuli alichelewa sana kumpa nafasi hii, ilipaswa ampe mapema ili akishindwa ku deliver akae kimya kabisa.

Mimi nimefurahi kapewa hiyo nafasi baada ya kuwa mstari wa mbele katika kuukosoa utawala wa Magufuli.

Nina shauku kubwa ya kuona atachokifanya sasa baada ya kuchonga sana [ingawa kusema ukweli sitarajii lolote lile lililo jipya au lililo tofauti].
 
Mimi nimefurahi kapewa hiyo nafasi baada ya kuwa mstari wa mbele katika kuukosoa utawala wa Magufuli.

Nina shauku kubwa ya kuona atachokifanya sasa baada ya kuchonga sana [ingawa kusema ukweli sitarajii lolote lile lililo jipya au lililo tofauti].
Hahaha bora kapewa sasa ili uko mbele hato laumu hata akinyimwa, maana kutakuwa na reference. Ulipewa nafasi ulifanya nini tofauti?! Hivyo ni wajibu wake avae dela au kanyela mumo, sisi tunataka alete mabadiriko.
 
Nimemsikiliza Bashe- Naibu waziri kilimo akielezea food security, well, amechemka sana!
Dhana ya food security haiko tu katika individual economic ability to purchase basic food stuffs kama alivyoielezea Bashe.

Food security imekuwa karibu na definitions 200 na zote zinabeba yafuatayo;
1.Physical, socia and economic ability to access and purchase basic food stuffs.
2.Availability of those basic food stuffs.
3.Ability to meet expanding food needs and offsetting fluctuations in production and prices.

Mpaka hapo nadhani atapata shule kidogo.
Pili, kumfananisha mkulima na mfanyabiashara ni kukosea sana.
Kilimo ni sekta inayopewa ruzuku sana na serikali. Umewahi kusikia mfanyabiashara akipewa ruzuku?
Unadhani ni kwanini ruzuku nyingi kutoka serikalini zinaenda kwenye kilimo?

Bashe yuko very confident but his understanding of issues is erratic at best!
Asante kwa huo mtazamo.

Food security si suala la kuhakikisha tu bei ya mazao inakuwa juu, ni suala pana likihusisha hata state security. Ikumbukwe machafuko na kuanguka kwa serikali nyingi ni sababu ya kupanda kwa bei za vyakula. Mfano wa karibuni ni kupanda kwa bei ya mkate Sudan, kilichoendelea serikali imepigwa chini.

Jambo la pili ambalo kuna wengi hawalijui including Bashe, siyo kweli kwamba bei juu ya mazao inamnufaisha mkulima. Mara nyingi siyo hivyo. Mfano mwaka juzi ambao baadhi ya wanasiasa wanatolea mfano akiwemo Zitto kwamba bei za mahindi zilikuwa juu na hivyo kumnufaisha mkulima, ukweli si hivyo unavyosemwa.

Pamoja na kwamba bei ya gunia ilifika hadi 130,000 na kuendelea bado wakulima wengi waliuza mahindi kwa chini ya 50,000/= Kwa hiyo bei ikiwa kubwa wanaofaidi ni wachuuzi na siyo wakulima.

Lingine ambalo ni muhimu sana kulijua, ni kwamba bei inapopanda sana mkulima huyu huyu mwenye kipato kidogo ndiye atakayehumia zaidi sababu anauza mazao yote kwa bei ya chini Mara avunapo na kisha kununua kwa bei kubwa sana baada ya muda mfupi tu. Kwa maana nyingine stability ya bei ya chakula bado inamsaidia sana mkulima ambaye Ana uhakika( japo inawezekana bila yeye kujua) wa kumudu kupata chakula kwa mwaka mzima kwa kipato kidogo alichonacho.

Ambao walikuwa karibu na wakulima walio wengi wanakiri kwamba kinachomsumbua na kugharimu pesa nyingi kwa mkulima ni chakula, japo yeye ndiye aliyevuna kwa wingi.
 
Back
Top Bottom