Learn Real English: In Only 6 Months!!

Mkuu Jbuyenze,
Kama unaweza kununua ni vema zaidi.
Ila kama huna uwezo, unaweza kuzi-download hizo courses kupitia download links nilizotoa!
 
Spread the love <3. Gawana/share na ndugu yako!

_________________________
Hakikisha unapita na hapa pia , for more download links!
 
Mkuu,
Una maana ya kuwa zina passwords au huwezi kuzi-download?
Mkuu, nadhani tatizo lilikuwa kwa browser niliyotumia mwanzo kuzifungulia hizo link ndiyo ilikuwa inaniletea shida, ilikuwa inasema page not found. Nimejaribu kuzifungua kwa kutumia chrome ya simu, link imefunguka zivuri tu. Ubarikiwe mkuu, ngoja nizifanyie kazi kwanza.
 
Mkuu, nadhani tatizo lilikuwa kwa browser niliyotumia mwanzo kuzifungulia hizo link ndiyo ilikuwa inaniletea shida, ilikuwa inasema page not found. Nimejaribu kuzifungua kwa kutumia chrome ya simu, link imefunguka zivuri tu. Ubarikiwe mkuu, ngoja nizifanyie kazi kwanza.
Pamoia sana, Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom