Tushare game za android

Tushare game za android

NJIA YA KUPATA GOLD NA FEDHA BURE NDANI YA GAME KWA AJILI YA KUNUNULIA SILAHA NAKADHALIKA
1 download LUCKY PATCHER na install kwenye sim Lucky Patcher 6.2.2.apk free download cracked on google play HiAppHere Market
2 .fungua na gusa gem kwa muda zitatokea option za hio game chagua MODIFY THE APK
3.baada ya kuchagua hapo itakuja option nyingine na chagua REBUILD INAPP AND LVL EMULATION na ita road kwa muda kama dakika tatu hivi subiri usi cancel
4.mweshoni itakuletea option nyingine bonyeza go to file
5.itakuonesha app ulio itengeneza mahali iliko kwenye sd card
6.futa gemu ulilo liingiza hapo mwanzo lenye vitu vinavyouzwa kwa kutumia phone setting sio lucky patcher setting(unistall)
7. nenda kwenye memory iliko hifadhiwa modified app ulioiona kwenye stage (5 )na install
8.fungua gem na nenda sehemu ambayo ukitaka kununua fedha au dhahabu kwa kutumia fedha yako (us dollars) panapatikana
9.utakuta fedha zipo vile vile zinauzwa bonyeza fedha unazozitaka
10.itatokea message yenye nembo ya lucky patcher usichague chochote we bonya yes bas na utakuta fedha zimeingia za kununulia gari au chochote


enjoy

mkuu hii kitu sijawai kufanikisha kabisa kunipa bure gold na simu yangu ni rooted
 
Nilikuwa napenda game wakati wa Nokia, simu ya kawaida unapata game nzuri na unacheza bila matatizo, huna wasiwasi na chaji, no lags, memory kidogo.
Kwenye mi-simu ya siku hizi game inahitaji memory kubwa, chaji wasiwasi, lags kibao, matangazo mpaka yanakera na simu inapata moto kama unataka kutengeneza popcorn.

Sina mpango na game kwenye mi-simu ya sasa.
 
My favourite game, ilikuwa n addiction kwangu. N kweli real combat na mission za ukweli. N game ambayo inakupa uhalisia wa ww2. Linaanzia kipindi Allies wanatua Normandy, Utah, Omaha na Sword beaches. Kiukweli katika android games, D day frontline ndio namba 1 kwangu mm.

Mkuu, hili game nimelicheza na nimemaliza missions zote. Nicheki nikupe tricks.
Naomba trick ya play hii game tafadhali. Kila nikijaribu naishia level ya chini.
 
Walking dead 1 and 2 ni nyoko, halafu upate s6 au 7 hutok ndani siku nzima
 
temple run oz ni noma
kwa football dream league 2016 zipo poa sana
 
Nimefka sehem ya kufuta game nimeshindwa naomben msaada
 
Game ya nyoka ni noma sana hutoki 24hrs lakini n Nokia tu
 
Back
Top Bottom