Ahsante nimeshaweza kumbe ilkuwa nina-fail kwenye ku-extract/decompress hizo zipped filesAchana na hiyo ngosha sasa tumia website inaitwa play.mob.org ipo google
Banshee habar ya towncheki banshee japo ya zamani kidogo ila inaendelea
Ok......enjoyAhsante nimeshaweza kumbe ilkuwa nina-fail kwenye ku-extract/decompress hizo zipped files
NJIA YA KUPATA GOLD NA FEDHA BURE NDANI YA GAME KWA AJILI YA KUNUNULIA SILAHA NAKADHALIKA
1 download LUCKY PATCHER na install kwenye sim Lucky Patcher 6.2.2.apk free download cracked on google play HiAppHere Market
2 .fungua na gusa gem kwa muda zitatokea option za hio game chagua MODIFY THE APK
3.baada ya kuchagua hapo itakuja option nyingine na chagua REBUILD INAPP AND LVL EMULATION na ita road kwa muda kama dakika tatu hivi subiri usi cancel
4.mweshoni itakuletea option nyingine bonyeza go to file
5.itakuonesha app ulio itengeneza mahali iliko kwenye sd card
6.futa gemu ulilo liingiza hapo mwanzo lenye vitu vinavyouzwa kwa kutumia phone setting sio lucky patcher setting(unistall)
7. nenda kwenye memory iliko hifadhiwa modified app ulioiona kwenye stage (5 )na install
8.fungua gem na nenda sehemu ambayo ukitaka kununua fedha au dhahabu kwa kutumia fedha yako (us dollars) panapatikana
9.utakuta fedha zipo vile vile zinauzwa bonyeza fedha unazozitaka
10.itatokea message yenye nembo ya lucky patcher usichague chochote we bonya yes bas na utakuta fedha zimeingia za kununulia gari au chochote
enjoy
mkuu hyo league ni ya mchezo gani?huwa namaliza chaji ktk hii game iko poa sana
Inaitwa dream league
Hii ni football game kwasasa inaitwa first touch leaguemkuu hyo league ni ya mchezo gani?
Naomba trick ya play hii game tafadhali. Kila nikijaribu naishia level ya chini.My favourite game, ilikuwa n addiction kwangu. N kweli real combat na mission za ukweli. N game ambayo inakupa uhalisia wa ww2. Linaanzia kipindi Allies wanatua Normandy, Utah, Omaha na Sword beaches. Kiukweli katika android games, D day frontline ndio namba 1 kwangu mm.
Mkuu, hili game nimelicheza na nimemaliza missions zote. Nicheki nikupe tricks.
Lazima ue connected kwa intanet?Ni "Asphalt 8 Airbone"
HapanaLazima ue connected kwa intanet?
Mkuu ulifanyaje... tupe maujanjaIlikubali lakini Sio kwa Lucky patcher...
Asee huku niko mwenyewe huku asee nakimbiza Greek Mythology emb tukutane kule na common topic mkuu.Ww ndo mwenzangu QuizUp bonge la game