Recent content by Pesaa

  1. P

    Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi 8 wapya

    Kipindi kile wote hao wangekuwa Wagala. Na usingesema kitu
  2. P

    Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

    Wewe ni mtu kama wa tatu kumsikia akisema hivi!
  3. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    umecheki kwenye akaunti yako hakuna info zozote?
  4. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    punguza hasira kijana. una uhakika gani tamisemi na wizara utapata? Sali sana uongeze imani yako kwa mungu
  5. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    una uhakika na hiki ulichosema hapa?
  6. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mmmh kwa hiyo halmashauri walipata wapi namba ya jamaa yako?
  7. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    "Katika swali la msingi Mbunge huyo ameuliza iwapo Serikali haioni umuhimu wa kutoa kipaumbele cha ajira kwa vijana wanaojitolea kutumikia Taifa katika kada mbalimbali za utumishi pindi nafasi za ajira zinapotolewa." Wakiuchukua huu ushauri, upendeleo utaongezeka. kwa maana nafasi za kupata...
  8. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wameitwa wangapi hadi sasa kada yako?
  9. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Jiandaeni kwa mkeka mrefu sana
  10. P

    Job Application FAILED

    Mkuu, ishu yako inatatulika tu. WAPIGIE SIMU, waombe wafute cheti cha Masters. wengi wamefanya hivyo na mambo yamekuwa poa.
  11. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Usije kulalamika humu utakapofanya interview wakakuchinjia baharini!
  12. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ameondoka na file lake :D :D
  13. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yaani kuhusu hili unataka ushauri kijana? hakuna kazi ya uhakika ya mkataba. HAKUNA! Usichezee bahati.
  14. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwanza tufahamu, PSRS hawaajiri hadi wapewe kibali, sasa kama kibali cha ajira 1700 hawajapewa wataajiri nini? kauli zingine ni siasa tu
Back
Top Bottom