Recent content by PERECY

  1. PERECY

    Njia ngumu kuelekea mfumo wa vyama vingi

    Naamini kuna watu wengi sana wanahitaji mabadiliko ya kisiasa. Kuna watu wengi sana wameichoka CCM, walijenga matumaini kwa NCCR Mageuzi, wakati fulani wakakata tamaa. Wakajenga kwa CUF, TLP na baadaye CDM; lakini matumaini yanafifia kwa kasi kubwa. Wenye historia nzuri wanakumbuka Tanzania...
  2. PERECY

    Pendekezo: Dkt Kitila Mkumbo awe mrithi wa Dkt Slaa

    Aisee mnenigusa vizuri, kichwa kimekuwa kinauma namna ya kupata makamanda wazuri, kumbe tunao. Dr. Kitila Mkumbo is perfect!
  3. PERECY

    Mwigulu: Marufuku Wafanyakazi wa Serikali Kushabikia Vyama vya Upinzani!

    Mh. Mwigulu una tatizo gani?. Wewe na Nape mtaiharakisha CCM kuzimika! Watu wanafuatilia hoja zenu, zimejaa mihemko na jazba; badala ya utulivu na maantiki ndani yake! Soma MAADILI YA UCHAGUZI, 3 (3.2) (b): "Serikali isifanye kitendo chochote cha kuwakandamiza wafanyakazi wake kwa sababu za...
  4. PERECY

    Kuhusu woga/hofu

    WanaJF, Tarehe 3 Januari 2009 niliandika katika Diary yangu kuhusu woga nikiwanukuu watu mashuhuri, na hapo ndipo ninapotaka kusema kwa dhati kwamba wapambanaji wote woga/hofu iwe mwiko. Hatima ya nchi yetu haihitaji mzaha, vijembe, watu wanatakiwa kuleta mabadiliko kwa ustawi wa maendelao...
  5. PERECY

    Gesi ya Mtwara na Rasilimali Nyingine: Maswali ya Msingi!

    HT umeanzisha hoja ambayo ukweli ina mashiko! Lakini naamini mambo ya rasilimali yamekuwa yakipigiwa kelele karibu kila siku na wadau wa maendeleo, wanaharakati, na waheshimiwa hasa wa upinzani, akiwepo ZZK tukikumbuka hoja yake ya Buzwagi. Napenda nishiriki kuchangia hoja kwa kufuata maswali...
  6. PERECY

    Kusiwe na Sare za Vyama vya Siasa

    WanaJf, Salam za Xmas! Zaidi ya mara tatu nimetumiwa msg hii na watu: "Je, umewahi kuiona picha ya Mwl. Nyerere akiwa ndani ya sare ya CCM? Tafuta popote duniani, ukiipata, kuna 1,000,000. Kama hakuna jiulize kwa nini? Sijafanya uchunguzi kujua ukweli wa Mwl. kuvaaa au kutokuvaa sare ya CCM...
  7. PERECY

    Zitto; jipange bado nafasi ipo.

    10. Kama atapitishwa tena kugombea ubunge katika jimbo lake ahakikishe madiwani wengi wa CHADEMA wanashinda katika kata zao, na kura za urais zinakuwa CHADEMA iongoze katika jimbo lake na si kama sasa.
  8. PERECY

    CHADEMA, huu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu...

    WanaJF, Salamu za siku nyingi kidogo ndugu zangu! Nina muda mrefu sijaandika katika wavuti yetu hii inayopendwa na watu Tanzania na nje ya nchi. Sijaandika, lakini si kwamba sifuatilii mambo. Nafuatilia, iwapo nimekuwa sichangii katika hoja husika. Naandika waraka huu, kama salamu za dhati...
  9. PERECY

    Majibu ya Kigwangalla: Kwa Nini Sikusaini Hoja ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (MB)!

    Kaka yangu Dr. Hamis, K. (MB), Naomba nitumie lugha ya busara kukwambia ukweli, ukweli tupu! Sitakushambulia kwa wasifu wako wa kielimu. Nitakushambulia kwa nafasi yako ya uongozi wa umma (Ubunge), na namna ambavyo umejitokeza kutueleza kuhusu hoja ya saini ya kutokuwa na imani na WM. Tutaiita...
  10. PERECY

    Nakala halisi ya saini za wabunge (iwe scanned) na isambazwe majimboni

    WanaJF, Namwomba Mheshimiwa Zitto, atufanyie scan fomu yenye majina na sahihi halisi za wabunge waliounga mkono hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, na isambazwe majimboni ili tujue vizuri ni mbunge wa jimbo gani aliunga mkono, na mbunge gani hakuunga mkono, ili wale ambao hawakuunga...
  11. PERECY

    Viwanja vilivyotumika wakati wa siku ya Uhuru, tuvitumie sasa kusema na kudai haki zetu

    WanaJF, Mkanganyiko ni mkubwa. Hatuamini. Nafuatilia mitandao na vyanzo mbamlimbali vya habari, mazungumzo makubwa ni utata na mkanganyiko wa taarifa ya ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha na mali za umma, na dhana ya uwajibikaji. Kilichotegemewa, sicho kilichotokea. Mkuu wa nchi alinukuliwa...
  12. PERECY

    Kamati za bunge zifutwe!

    Naunga mkono hoja hii! Unajua nawaza mbinu nzuri ya kuleta mabadiliko dhidi ya matatizo haya, nafika mahali napata hasira ya kutukana. Inatakiwa litokee tukio kama la kusabotage! Natafakari mbinu ya kuwamobilize hawa wabunge, au wananchi na kuleta wito mmoja - Mtwara mpaka Kagera, Dsm mpaka...
  13. PERECY

    Ubunge Iramba Magharibi

    Tutakuunga mkono. Lakini shida ninayopata humu katika JF wengi hamjapenda kuandika majina yenu kamili, sijui hofu ni nini. Majimbo yote, Iramba Magharibi na Iramba Mashariki kuna shida ya wabunge waliopo. Bahati nzuri natoka huko, na kila kona naifahamu vizuri kuanzia Kinampundu mpaka Mgela...
  14. PERECY

    Wasomi na watumishi wa umma wahudhuria mkutano wa CHADEMA

    Inakubalika: Kwa kuwa wafanyakazi wengi katia ofisi za serikali hatufahamu fursa hii, na hapo ndiyo tumeshindwa kuonyesha misimamo yetu kisiasa. Kuanzia leo, elewa hili: "SERIKALI ISIFANYE KITENDO CHOCHOTE CHA KUWAKANDAMIZA WAFANYAKAZI WAKE KWA SABABU ZA UANACHAMA WAO AU IMANI YAO KATIKA CHAMA...
  15. PERECY

    Nani walipiga kura Arumeru? Je ni wavivu wa kufikiri?

    WanaJF, Swali hilo limenisumbua kwa takribani wiki sasa. Nimependa tuwaze pamoja: Nani walipiga kura Arumeru Mashariki? Je ni wavivu wa kufikiri? Swali hili lina mahusiano makubwa na kauli ambayo mara kadha rais mstaafu, Mh. Mkapa amekuwa akiwaambia wanaoonekana ni maadui wake kwa upande mmoja...
Back
Top Bottom