Hilo ndio JibuIlishajibiwa hilo kwamba ccm waliingia lini kwenye sare kama ilivyo kwa chadema ukitafuta ni wapi muasisi wao mzee mtei kavaa sare ya gwanda utapata,uzuri ni kwamba yupo hai kuna siku watanunua na kumvalisha,hizo ndizo mwelekeo wa hizi sare