Habari wana Jamii.. Nilikua na omba kujua namna ya kupata connection ya kazi/ajira Kwenye Mashirika ya kimataifa kama vile UN,Unicef na kadhalika .. Nina Degree ya Account na CPA.
Shukran..
Dada zangu,fanyeni mtakavofanya lakin sio kuweka kitu extra huko chini.. Mtapata madhara makubwa na hamtafurahia tendo LA ndoa wala maisha..! Fanya mazoez ya kuubana tu Mara kwa Mara,misuli itakaza.. Mkiua bacteria hao kwa maembe basi mtaoza hali ya kua mko hai..
Mweka post unajua mpk all jazeera wanatangaza Tayari washafanya utafiti.. Kituo kikubwa cha habari hiko.. Na kuhusu uhaba wa dawa sisi sote tunajua kasoro we we tu.. Jitahid basi kua mfatiliaji wa mambo ya nchi yako na sio ukuda tu wa kisiasa na chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.