Kuna 'Sober House' za punyeto?

Kuna 'Sober House' za punyeto?

19?? Unatafuta nini Jf nenda Facebook
mkuu nakuheshimu sana unitake radhi kila mtu humu ana akaunti facebook kwahiyo usinipangie cha kufanya,ukubwa haukufanyi uwe member humu,wengi humu ni wakubwa ila "vichwa maji"
 
Wadada hawaridhishwi na wapenzi wao sababu hawaridhiki na wao wanajichua mpk hawamtamani mwanaume. Wadada wengine hawaridhishwi sababu walivyozoea kufanyiwa na ex wao hawafanyiwi na new bf, wanataka kufanyiwa vile vile au kama kwenye movie wanavyofanya.
 
Wadada hawaridhishwi na wapenzi wao sababu hawaridhiki na wao wanajichua mpk hawamtamani mwanaume. Wadada wengine hawaridhishwi sababu walivyozoea kufanyiwa na ex wao hawafanyiwi na new bf, wanataka kufanyiwa vile vile au kama kwenye movie wanavyofanya.
 
acha masihara kaka io kitu ni mbaya sana kwa future yako sku unapata mtoto ameiva unashindwa kazi hamna kitu kibaya kama icho izo stress zisikie kwa mwingine
acha kujiendekeza bro kumbuka maisha yako ya baadaye yapo mikononi mwako
penda kujifunza kwa wenzio sio mpaka yakukute wewe

dis thing iz too much sasa
try to use ur brain coz iz APPS
like other apps
Huyu hafanyi sana ka kakaaa siku 26 kuna wadau wanapiga bao tatu kwa siku mara tatu au nne kwa wiki
 
Mtu anae piga punyeto hadi siku akipiga bao linalofanana na nyoka ndio ataacha. Alafu inabidi sheria itungwe, maana huu ni uuaji wa kukusudia kabisa.
 
Huyu hafanyi sana ka
kakaaa siku 26 kuna
wadau wanapiga bao tatu
kwa siku mara tatu au
nne kwa wiki


ha ha lordchimkwese sidhan kama kuna anaenikuta mimi nilikuwa naenda had 6 per day hakuna siku niliacha kwa kipind cha mwaka mmoja labda kupunguza kutokana na kazi kuwa nyingi sidhani humu ndan kuna mwenye kunikuta
 
Amoxlin ww huchukui round ww tushindane mm jana nimejilipua cha mwisho mwezi huu october sijapiga kabisa
 
Huyu hafanyi sana ka
kakaaa siku 26 kuna
wadau wanapiga bao tatu
kwa siku mara tatu au
nne kwa wiki


ha ha lordchimkwese sidhan kama kuna anaenikuta mimi nilikuwa naenda had 6 per day hakuna siku niliacha kwa kipind cha mwaka mmoja labda kupunguza kutokana na kazi kuwa nyingi sidhani humu ndan kuna mwenye kunikuta
Kijana duh umezidisha aisee unatakiwa ushauri wa kina
 
Mkuu dawa ya kuacha nyeto ni kuoa,au kuwa na demu wa uhakika,kinyume na hapo nyeto haiachiki.
 
Back
Top Bottom