basi kumbe si coke tu maana kuna hii juice ya mango iko manufactured na t same company unakunywa kwa kujiuliza ivi humu kuna embe au nini yaan haieleweki mdomon
Juzi tu hapo kipindi cha covid 19 nimetoka mlowo,mbozi,songwe nakwenda hospital vwawa,mbozi,songwe nina kanauli tu buku kwenda nakurudi maana matibabu nilitegemea bima asa si nikasahau barakoa nafika hospitali huingii bila barakoa na mfukoni nina jero(mia tano) ya kurudia home! Barakoa yenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.