aAllen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 269
- 336
Tuweke madirisha gani ambayo tutatoka moto ukiwakaTatizo zile nondo kwenye madirisha. Nadhani ni muhimu nyumba iwe na milango mitatu. Moto ukianzia sebuleni mnatokea milango mingine. Milango mingine isitokee sebleni
Pia huu mfumo wa kuweka nondo madirishani inabidi tuache.
Maana ukitokea moto kutoka ni haiwezekani.