Jamani, ni kweli wazungu wanatuzidi akili?

Jamani, ni kweli wazungu wanatuzidi akili?

Wametuzidi saaana,kubisha nikuidanganya akili na kuidanganya akili ni dhambi,angalia vitu vyao tunavyotumia,bila wao tungekufa na magonjwa,fikilia upasuaji bila ganzi,
Hebu elezea wametuzi jinsi gani walivyotuzidi?
 
Wametuzidi vingi mno waafrika tuna roho mbaya unapomuona mwafrika mwenzio kapata shida unafurai, mwenzio akifanikiwa unaenda kumloga hivi ni vichache tu vingi sana vipo vinavyoashiria gepu between mzungu na mwafrika

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Vitu tunavyoangaika navyo leo wao washafanya zamani sana, ni aibu hadi leo kusema mzungu anatufanya waafrika tubaki hapa tulipo inaonesha ni namna gani tulivyonyuma sana na kiasi gani fikrazetu zilivyo mgando, km tuliweza kumtoa mkoloni kwann tushindwe kupiga hatua zaidi, kwan mzungu hampendi mwafrika tu mbona mabara mengine yamepiga hatua kumzidi mwafrika tena mbali sana.
 
Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu sasa bila majibu.

Nimekuwa nikisikia kwamba wazungu wanatuzidi akili kila mara mimi binafsi nimekuwa nikipingana na maneno hayo.

Naombeni tusaidiane/mnisaidie endapo kuna kweli wowote kuwa eti wazungu wanatuzidi akili.

Kwasababu

Every systems kwenye dunia hii ni kama zimekuwa invented na wao

For instance

1. Mifumo ya Mahakama (Haki za binadamu)
2. Mifumo ya elimu (Formal Education)
3. Mifumo ya usafirishaji
4. Mifumo ya sayansi na teknolojia kubwa.
5. Mifumo ya Afya

Naskiaga sijui kuhusu IQ hata nisijue IQ ni nini?

Eti kwamba wazungu wana IQ kubwa kuliko sisi?

Wapo watu wanaodiriki kusema Wazungu Walipendelewa na Mungu ndiyo maana wako hivyo pia hata hili sikuwahi kusadifu.
Amini usiamini wakati tunapata Uhuru mwaka 1961 thamani ya shilingi yetu ilikuwa sawa na thamani ya shilingi ya uingereza, pia thamani ya dola ilikuwa sawa na hela yetu! Hali ya maisha mijini haikutofautiana sana na zao na kikubwa zaidi elimu na mtihani wa shule zetu na za uingereza ulikuwa ni mmoja! Ulitoka Cambridge Uingereza na kusahihishwa huko huko Cambridge.
Jiulize leo tuko tofauti sana kimaisha, kwanini?
 
Kuna wazungu nilisoma nao nikawa nawapita somo la Human Anatomy

"Zamani nilidhani kila mzungu kashawahi kupanda ndege" -- Mr. Kamugisha, 1997.

Wazungu, kama kundi, wana utamaduni wa kutunza kumbukumbu na wana umoja; nadhani hiyo ndio tofauti kubwa sana na sisi Waafrika.

Mifano:

1. Wazungu wanaandika kwenye diary kila jambo muhimu, hata ya upuuzi. Ukifanikiwa kuinasa diary ya Mzungu, hutaamini macho yako. Hivi diary kwa lugha ya kikwetu sijui inaitwaje. Hata kwa Kiswahili sijui. Nyie kikwenu inaitwaje 😉

2. Wazungu kutokana na kutunza kumbukumbu (na kuzisoma), huanzia pale mwengine alipoishia. Hii ni kwenye mambo makubwa au hata madogo. Kwa mfano, mzungu aliyekuja TZ, siku akirudi kwao, hata ikipita miaka kadhaa, mwenzake akitaka kuja TZ, atamuuliza wapi pa kufikia, dereva teksi, shambaboy, na timu nzima ya wadau wanaofaa na wasiofaa. Kama ni taasisi, atapata nyatunyatu zote kabla hajafika TZ. Siku akiripoti ofisini tayari keshajua ofisi kinaganaga. Sisi Waafrika, siku mtu akiondoka ofisini, mbali na ile karatasi ya makabidhiano ya ilimradi, unakuta hakuna institutional memory . Taasisi inajikuta inarudia makosa yaliyofanywa miaka michache iliyopita. Duplication of Efforts tele.

3. Wazungu wana umoja: ukimchokoza mmoja, umechokoza wote. Muulize Bob Mugabe (R.I.P). Wenzake wengi walikaa mbali wakimuacha apambane na Wazungu toka hemisphere zote. Of course, wameifiksi Zimbabwe, nasikia mpaka imeomba poo. Ukiharibu kwa Mzungu mmoja aliyeko TZ, wenzie wote wa TZ watajua, na watakaokuja kutoka nje watakuja tayari na data zako walizopewa naye. Ukimuwini mmoja, umewawini wote halikadhalika. Sisi sasa... Mwarabu aliweza kutuswaga toka Kigoma hadi Bwagamoyo huku akipita kwenye jamii za Waafrika wenzetu ambao walikuwa kiroho safi, mradi siyo wao wapelekwao utumwani.

Ukitaka kununua gari used, lipi unakuwa na imani nalo zaidi: la Mzungu au la Mswahili mwenzio? Imefika mahali sisi Waswahili hatuaminiani wenyewe kuliko tunavyowaamini Wazungu.

Kujibu hoja yako: Waafrika na Wazungu tuna tofauti za tamaduni, zinazoleta tofauti za maendeleo.


By the way, suali kama hilo lilipata kuulizwa na kusababisha vitabu vizima kuandikwa:


 
Siwezi maana nafasi haitoshi,kifupi nitaadika baadhi tena vya kijinga,mfano sauti yako kusikika kwenye redio,au kukaa kusikika kwenye CD, kutoa maji ruvu na kusambaza dar na kwingine ( vifaa vyao)bila wao MTU Wa mbeya ilibidi atembee kwa mguu mbeya hadi dar es salaam,magari si yao,joto na feni,umeme, ongeza yako
 
Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu sasa bila majibu.

Nimekuwa nikisikia kwamba wazungu wanatuzidi akili kila mara mimi binafsi nimekuwa nikipingana na maneno hayo.

Naombeni tusaidiane/mnisaidie endapo kuna kweli wowote kuwa eti wazungu wanatuzidi akili.

Kwasababu

Every systems kwenye dunia hii ni kama zimekuwa invented na wao

For instance

1. Mifumo ya Mahakama (Haki za binadamu)
2. Mifumo ya elimu (Formal Education)
3. Mifumo ya usafirishaji
4. Mifumo ya sayansi na teknolojia kubwa.
5. Mifumo ya Afya

Naskiaga sijui kuhusu IQ hata nisijue IQ ni nini?

Eti kwamba wazungu wana IQ kubwa kuliko sisi?

Wapo watu wanaodiriki kusema Wazungu Walipendelewa na Mungu ndiyo maana wako hivyo pia hata hili sikuwahi kusadifu.
Ni kweli tena wanatuzidi kwa mbali sana
 
Ndio wametuzidi akili. Tokea usikie mikata waafrika tunaingia na wazungu, ulishawahi sikia mkataba hata mmoja umewanyonya wazungu?
 
Mimi nimeishi na wazungu na nimesoma nao darasani. Kwenye swala zima la kumeza aka kukariri, aisee sisi tumewaacha wazungu mbali sana wala hawawezi kutusogelea kabisa..!! Tulikua tunawaburuza mbayaa..!

Wazungu wametushinda kwenye reasoning yaani uwezo wa kufikiri. Yaani kuna kitu mzungu anaweza kuwaza, ambacho muafrika hata umpe miaka 100 hawezi kuja na hilo wazo. Hapo tu ndio jamaa wanapotupita. Sisi ni kama uwezo wetu wa kufikiri umefungiwa mahali fulani nyuma ya utumbo mpana.
 
harvard university 1621......
Lazma watuzidi tu....hatuwez kuwa sawa nao
 


"Zamani nilidhani kila mzungu kashawahi kupanda ndege" -- Mr. Kamugisha, 1997.

Wazungu, kama kundi, wana utamaduni wa kutunza kumbukumbu na wana umoja; nadhani hiyo ndio tofauti kubwa sana na sisi Waafrika.

Mifano:

1. Wazungu wanaandika kwenye diary kila jambo muhimu, hata ya upuuzi. Ukifanikiwa kuinasa diary ya Mzungu, hutaamini macho yako. Hivi diary kwa lugha ya kikwetu sijui inaitwaje. Hata kwa Kiswahili sijui. Nyie kikwenu inaitwaje 😉

2. Wazungu kutokana na kutunza kumbukumbu (na kuzisoma), huanzia pale mwengine alipoishia. Hii ni kwenye mambo makubwa au hata madogo. Kwa mfano, mzungu aliyekuja TZ, siku akirudi kwao, hata ikipita miaka kadhaa, mwenzake akitaka kuja TZ, atamuuliza wapi pa kufikia, dereva teksi, shambaboy, na timu nzima ya wadau wanaofaa na wasiofaa. Kama ni taasisi, atapata nyatunyatu zote kabla hajafika TZ. Siku akiripoti ofisini tayari keshajua ofisi kinaganaga. Sisi Waafrika, siku mtu akiondoka ofisini, mbali na ile karatasi ya makabidhiano ya ilimradi, unakuta hakuna institutional memory . Taasisi inajikuta inarudia makosa yaliyofanywa miaka michache iliyopita. Duplication of Efforts tele.

3. Wazungu wana umoja: ukimchokoza mmoja, umechokoza wote. Muulize Bob Mugabe (R.I.P). Wenzake wengi walikaa mbali wakimuacha apambane na Wazungu toka hemisphere zote. Of course, wameifiksi Zimbabwe, nasikia mpaka imeomba poo. Ukiharibu kwa Mzungu mmoja aliyeko TZ, wenzie wote wa TZ watajua, na watakaokuja kutoka nje watakuja tayari na data zako walizopewa naye. Ukimuwini mmoja, umewawini wote halikadhalika. Sisi sasa... Mwarabu aliweza kutuswaga toka Kigoma hadi Bwagamoyo huku akipita kwenye jamii za Waafrika wenzetu ambao walikuwa kiroho safi, mradi siyo wao wapelekwao utumwani.

Ukitaka kununua gari used, lipi unakuwa na imani nalo zaidi: la Mzungu au la Mswahili mwenzio? Imefika mahali sisi Waswahili hatuaminiani wenyewe kuliko tunavyowaamini Wazungu.

Kujibu hoja yako: Waafrika na Wazungu tuna tofauti za tamaduni, zinazoleta tofauti za maendeleo.


By the way, suali kama hilo lilipata kuulizwa na kusababisha vitabu vizima kuandikwa:



Uko sawa but sio wazungu wote wanapendana,sio wachina wote wanapenda,sio warabu wote wanapenda.Hivi warusi wanawapenda wamarekani weupe? Ikitokea vita kati ya mchina na muingereza unadhani urusi watawasaidia waingerza kisa wazungu wenzao?
Kwenye seke seke LA George Floyd(Black life matter) wazungu wengi maelfu walijiunga na weusi kuwapinga wazungu wabaguzi.
Kuna wanazi mamboleo wanatamani kuwaua wazungu wenzao na kuurudisha UNZI.
 
Walichofanikiwa wazungu ni kutumia akilizao kukuza maarifa,kujifunza kwa dhati kutoka kwa wachina waafrika,waarabu nk
Wazungu wamefanikiwa kutumia akili za race nyingine.Wazungu. hutoa scholarship dunua nzima kupora akili kutoka mataifa mengine na kuwaweka katika vyuo vyao.Wazungu kupora watu potential popote duniani na kuwa nafasi katika nchi zao.Wamefanya vyuo vyao kuwa centre of the world knowledge.
Chanjo ikigunduliwa Afrika wakuthibisha na kupitisha ni wao, waafrika wametufanya mazombie na tumekubali hio hali.
Viongozi wa Afrika hawajiamini hivyo wanashindwa kuibadili Afrika kuwa sawa na Asia na Ulaya.
 
Maendeleo yao ndio yanafanya tufikirie hilii,
Haiwezekani wawe mbele kwa kila kitu halafu bado tuseme kuwa tuko sawa kiakili. Na hili swala la sisi kukubali kuwa watumwa wao kunaashiria kwamba wao ni zaidi yetu


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom