Recent content by Pejos

  1. P

    Msaada WINDOWS 8 PLEASE

    Asante sana mkuu
  2. P

    Msaada WINDOWS 8 PLEASE

    Naomba mwenye link iliyopo humu ndani ya jamvi inayohusu hii Windows aniwekee hapa sabau mimi sifahamu jinsi ya ku-search thread zilizopita. Nikipata na ile ya Windows 7 itakuwa vema wakuu. Natanguliza shukrani
  3. P

    Mtoto wa rais anaswa akipima 'ngoma'

    You have said it all mkuu
  4. P

    kudanlodi

    Saluuumu heeeeeeeee! Hujui hata kuandika duuuuu hatareee
  5. P

    Universal secrets......!!

    Ngoja na mimi nisepe
  6. P

    Msaada kwa Mwenye Kufahamu wimbo huu

    Taamu Asante sana
  7. P

    Msaada kwa Mwenye Kufahamu wimbo huu

    Asante sana Mkuu, nitautafuta
  8. P

    Msaada Mashairi Haya!!!

    Moja ya mashairi yake yanasema: Kama ni watoto fika kwetu posa, utawaona,utawaona, usifike kwangu utaleta fujo, na mpenzi wangu wa sasa tulitalaka na wewe bila kuleta kitu kwetu... Simjui muimbaji wala jina la wimbo niliusikia kitambo kidogo nikaupenda msaada mwenye nao au anayefahamu...
  9. P

    Msaada kwa Mwenye Kufahamu wimbo huu

    Wakuu wana JF kuna wimbo niliwahi kuusikia miaka ya nyuma kidogo niliupenda ila simkumbuki Msanii wala Jina la Wimbo ila maneno haya yaliimbwa humo: Kama ni watoto, fika kwetu posa, utawaona,utawaona usifike kwangu utaleta fujo, na mpenzi wangu wa sasa,tuligombana na wewe, bila kuleta kitu...
  10. P

    Fake interpreter kwenye msiba wa mandela...dah..

    napita tu hapa nimetoka jikon
  11. P

    Darasa la saba hali ni tete

    Na huu tena ni ouzo mwingine
  12. P

    Hawa wana maana gani na Majina yao!

    Nimecheka sana lol...
  13. P

    Brothers and sisters; nisaidieni kimawazo mimi pamoja na rafiki zangu

    ni kweli kaka hata mimi namshauri aende tu huko mambo mrngine yatajipa akiwa huko polisi coz ataweza kutoka tena
Back
Top Bottom