Alichokifanya nesi ni sawa tu make mama yule angeua mtoto ni kesi ya nesi sema tu yule mama kaona ashitaki hata hivyo yule mama umri umeenda sana inawezekana alikuwa anazingua kweli. Lakini haina noma kwa vile kala vibao ila hajafa.
Dmond alipotumia advantage ya kuwa na mdomo mkubwa kuimba nyimbo nzuri bila shaka wote tulikuwa nyuma yake ila pale anapoutumia mdomo ule ule kuleta uchochezi wa ukanda na ukabila hatuna budi kumwambia anapotea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.