Natumia Halotel kuna muda inazingua, na huwa unaweka bando lipiUnatumia mtandao gani? Mimi nimejaribu voda,tigo,airtel. Yote tabu tupu. Ila Haloteli mwisho wa matatizo nacheki mechi mpaka raha.Jaribu Halotel hutajutia
Natumia Halotel kuna muda inazingua, na huwa unaweka bando lipiUnatumia mtandao gani? Mimi nimejaribu voda,tigo,airtel. Yote tabu tupu. Ila Haloteli mwisho wa matatizo nacheki mechi mpaka raha.Jaribu Halotel hutajutia
Mkuu sio mtaalam Sana wa mambo haya, ila nlivyoona swali lako likikosa majibu Na vile natumia windows pia, nikazama google kuuliza the best app for live football watching, nikaambiwa ipo Ni mpya Na Bab kubwa inaitwa Flash sports, Ni ya kulipia but Kuna trial ya muda kidogo, nime download nikacheck Na game ambazo zipo online sasa, nimecheck mieleka online, uzuri Na michezo kibao, hafu Ina features nyingi, Kama Kuna game zinachezwa at the same time, unaweza kurecord moja then Ili ucheck baadaye! Iko poa Sana! Nenda windows store inapatikana.windows phone.....
Mb 500Natumia Halotel kuna muda inazingua, na huwa unaweka bando lipi
shida yao ni hiyo app ya bure android eti kwa microsoft inauzwa.Mkuu sio mtaalam Sana wa mambo haya, ila nlivyoona swali lako likikosa majibu Na vile natumia windows pia, nikazama google kuuliza the best app for live football watching, nikaambiwa ipo Ni mpya Na Bab kubwa inaitwa Flash sports, Ni ya kulipia but Kuna trial ya muda kidogo, nime download nikacheck Na game ambazo zipo online sasa, nimecheck mieleka online, uzuri Na michezo kibao, hafu Ina features nyingi, Kama Kuna game zinachezwa at the same time, unaweza kurecord moja then Ili ucheck baadaye! Iko poa Sana! Nenda windows store inapatikana.
Mimi natumia window phone,nenda kwenye store tafuta application inaitwa #World Tv Ina channels nyingi Sana za mpira ,movie,cartoon,na pia za tz.Na Windows phone tunafanyaje mkuu. Tusaidie pia
Thanks mkuu, nimeona channel nyingi Sana ikiwemo bein sport. Changamoto nilioona Ni kuhusu ratiba za mechi.Mimi natumia window phone,nenda kwenye store tafuta application inaitwa #World Tv Ina channels nyingi Sana za mpira ,movie,cartoon,na pia za tz.
Ya yanga sijajua ila unaweza kujaribu kuangalia channels za kiarabu but sina uhakika Kama zitakuwa zinaonesha hiyo mechiThanks mkuu, nimeona channel nyingi Sana ikiwemo bein sport. Changamoto nilioona Ni kuhusu ratiba za mechi.
Hapo unajuaje mkuu au inabidi kujaribu kila channel mfano Leo yanga inaonyeshwa cannel gani.
Niliona via YouTube, ONtv live stream.Ya yanga sijajua ila unaweza kujaribu kuangalia channels za kiarabu but sina uhakika Kama zitakuwa zinaonesha hiyo mechi
Just type jina la mechiWadau ninaomba kufahamu kama kuna jinsi yoyote ya kuweza kuangalia mechi ya mpira online kupitia youtube