Shida sio kiungo.. shida ni mwenye hicho kiungo.. kuna Malaya na Mwanamke
Malaya tutaita Mbunye na majina mengine mabaya kuliko hilo.. ila Mwanamke tutaita uke kama bailojia ilivyotufundisha darasa la nne C
Hoja ni ipi haswa? Ndoto au Single Mother? Unanichanganya!
Maana kama ni ndoto.. hata mwanamke ambaye sio single mother anaweza kuota akiwa anamkatikia Ex Boyfriend wake..!
Ila kama hoja ni ndoto.... tafuta bikra hawezi kuota ndoto ya namna hiyo.
Habari zenu waungwana...
Naomba kuelekezwa mahali zinapouzwa mashine za kutengeneza mihuri, hapa Tanzania, vizuri zaidi kama ipo hapa hapa Dar es Salaam.
Nawasilisha.
Mfano wa hizi mashine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.