Habari zenu wakubwa. Jana nikiwa na wageni wangu kutoka Ulaya nilipokuwa nawapeleka Kigamboni tukiwa ndani ya pantoni tunapiga selfie alikuja mgambo na kusema tuko chini ya ulinzi kwani hakuna ruksa kupiga picha.
1. Ningependa tu kujua sheria hii ya kuzuia kupiga picha na sababu au hasara zake.
2. Hawa mgambo wakishaona foreigners wanajua ndio ulaji na kusema tulipe faini ya elfu 50 kwa kila picha.
Wadau naomba msaada wa ushauri kwa hili.
1. Ningependa tu kujua sheria hii ya kuzuia kupiga picha na sababu au hasara zake.
2. Hawa mgambo wakishaona foreigners wanajua ndio ulaji na kusema tulipe faini ya elfu 50 kwa kila picha.
Wadau naomba msaada wa ushauri kwa hili.