Recent content by peacebm

  1. P

    Jeshi lakamata kilo 97.8 za heroine njia ya kunduchi

    Mbona kule Kenya wanazichoma heroine, cocaine... HADHARANI za kwenu mnapeleka wapi lol[/B][/COLOR]?
  2. P

    Sheikh Abdallah said: "We want all bars and restaurants to be closed. Zanzibar

    wawa muhamadas ni wapumbavu, wajinga kwanini wanawaonea hawa wenye vibaa vidogo wakati kule bwawani hotel, movenpick ndo mapapa wenyewe ****** sana
  3. P

    Amatus Liyumba akamatwa na simu gerezani

    yule mkulu wa BOT wa sh bil 21 amekamatwa gerezani akiwa na simu nokia ya tochi akiwasiliana na kigogo kuomba amfanyie mpango wa kutoka gerezani na hivyo kafikishwa jana kituo cha polisi Sitakishari Ukonga source Wapo Radio Patapata
  4. P

    Hebu tukumbushane kidogo basi!

    kwani zamani inaanzia mwaka gani??
  5. P

    Kula majani kwa wananchi ni lazma sasa!

    ni kweli hawa viongozi wanaangalia maslahi yao tu
  6. P

    Kula majani kwa wananchi ni lazma sasa!

    Watanzania kama tuliweza kula majani kipindi cha waziri Bazil Mramba tukanunua jet ya Mbayuwayu ambayo inaruka toka Dar na kutua Kampala wakati destination ni KIA, inakwenda xafari ambazo zinaleta bill kubwa kwenye matumizi ya hizi mbayuwayus, natumaini yatupasa sasa hivi tule majani ili...
  7. P

    Kula majani kwa wananchi ni lazma sasa!

    Watanzania kama tuliweza kula majani kipindi cha waziri Bazil Mramba tukanunua jet ya Mbayuwayu ambayo inaruka toka Dar na kutua Kampala wakati destination ni KIA, inakwenda xafari ambazo zinaleta bill kubwa kwenye matumizi ya hizi mbayuwayus, natumaini yatupasa sasa hivi tule majani ili...
  8. P

    CUF: Ni wapinzani au watawala?

    hawa ni wanafiki tu kazi yao kucheka na magamba tu
  9. P

    Watu wamechoka na chaguo la Mungu?

    ataficha **** kwa mukulu
  10. P

    Miaka takribani 50 ya Uhuru Tanzania: Ni yapi ya kujivunia?

    Naunga mkono hoja kwa sababu mkoloni akirudi yatajiri yafuatayo, FAIDA---- Atajenga reli za kisasa na kuleta treni za umeme kumrahisishia usafiri Atajenga viwanja vya ndege vya kisasa na kuleta Boeing mpya Atajenga barabara za kisasa flying over za kutosha Atajenga bwawa kubwa linaloanzia...
  11. P

    Jemedari Jairo David-Hongera sana

    Kwa mtazamo wangu, napenda kumshukuru na kumpongeza Jemedar Jairo D. kwa msaada wa kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa kuzichangisha idara zake za wizara za nishati na madini kupitia gamba jepesi Ngeleja, kwa mahesabu ya haraka ni kwamba tukitumia the so called...
  12. P

    6 Most Effective Methods to Code HTML and CSS

    what are these? 4real sina idea hata vinafanya nini. Just help and for the benefit of others najua tupo wengi mayb wanaogopa kuuliza kuonekana hawajui
  13. P

    Posho na Mishahara ya wabunge...

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo kupitia Naibu mkuu wa kambi ya upinzani Mh Zitto Kabwe wameonyesha uvumbuzi, ujasiri, uzalendo na uchungu wa matumizi mabaya ya fedha za serikali zinazodidimiza maendeleo ya nchi. Tatizo linakuja kwa jamaa wa magamba watakuwa na uzalendo wa kuiunga mkono hoja...
  14. P

    Kikwete 'awapakazia' viongozi wa dini biashara ya madawa ya kulevya

    awataje tuone ujasiri wake mbona obama kataja wa kwake huyo anaesema kuna chombo cha kutaja cha nn
  15. P

    Siku ya mwisho kwa tanzania-hii hapa

    Kwa Takwimu zilizotolewa jana zinaonyesha kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza AFRICA, na ni nchi ya kumi DUNIANI inayotegemea misaada toka kwa wahisani, na kasi ya kutegemea wahisani inazidi, wakati Kenya ikipunguza kasi hiyo kwa kupanda kwa uchumi na kusimamia vyanzo vya mapato. kwa mtaji...
Back
Top Bottom