Kwa Takwimu zilizotolewa jana zinaonyesha kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza AFRICA, na ni nchi ya kumi DUNIANI inayotegemea misaada toka kwa wahisani,
na kasi ya kutegemea wahisani inazidi, wakati Kenya ikipunguza kasi hiyo kwa kupanda kwa uchumi na kusimamia vyanzo vya mapato.
kwa mtaji huu, nchi yetu haijawahi
1. Kupatwa na SUNAMI(any natural disaster)
2. Kupatwa na VITA vya wenyewe kwa wenyewe
ambvyo vyote hapo juu hudidimiza uchumi wa nchi kwa zaidi ya 75%
mtazamo wangu finyu
1. Madini tuliyowapa idhini wawekezaji
(a) Almasi ambayo 1gram=?
(b) Dhahabu ambayo 1gram=100,000
(c) Tanzanite ambayo 1gram=>1,000,000
(d) Uranium ambayo 1gram=?
(e),,,,,,
(f),,,,,,,.....
................endelezeni hapo by filling the blanks
Madini yote haya yalipoanza kuchimbwa na wawekezaji ndio yaliyofanya uchumi wetu kuwa tegemezi zaidi huku yakiliingizia taifa hasara za uharibifu wa mazingira na kuwanufaisha tu magamba
Enzi za Nyerere ilikuwa vipi tulilima
(1) Mkonge
(2) Pamba
(3) Kahawa
(4) Pareto
(5) Zabibu
(6)...........
(7) ........endelezeni hapo
na kwa kutumia vyote hivi hapa juu Hayati Babu Nyerere aliweza kuendesha uchumi na kujenga nchi kadiri ya uwezo wake wote na kuhakikisha kwamba:
(1) Anakopa pesa kwa wahisani ambazo anajua atarudisha siku akija kununua mitambo ya kuchimbia madini bila kuwapa wahisani sekta hiyo
(2) Anajenga viwanda vya kutosha kuchakachua malighafi zinazozalishwa.
(3) Anajenga mahitaji ya huduma za jamii(shule, hospitali, barabara....)
(4) Anadumisha heshima,amani, upendo, mshikamano, usawa.......
(5) Analinda kwa nguvu zote sehemu zenye madini ambayo anajua yataliletea taifa mapinduzi ya 100% kimaendeleo pindi tutakapokuja kuyachimba sisi wenyewe kwa mitambo yetu wenyewe
Sasa sijui nchi yetu inaelekea wapi kama madini yote yanakaribia kuisha ardhini bila faida yoyote, viwanda vyote tumeviua, mashamba yote tumeyatelekeza na kusitisha kilimo cha kisasa huku tukijidanganya kilimo kwanza,
NAWAKILISHA HOJA NIKIOMBA MAONI YENU
na kasi ya kutegemea wahisani inazidi, wakati Kenya ikipunguza kasi hiyo kwa kupanda kwa uchumi na kusimamia vyanzo vya mapato.
kwa mtaji huu, nchi yetu haijawahi
1. Kupatwa na SUNAMI(any natural disaster)
2. Kupatwa na VITA vya wenyewe kwa wenyewe
ambvyo vyote hapo juu hudidimiza uchumi wa nchi kwa zaidi ya 75%
mtazamo wangu finyu
1. Madini tuliyowapa idhini wawekezaji
(a) Almasi ambayo 1gram=?
(b) Dhahabu ambayo 1gram=100,000
(c) Tanzanite ambayo 1gram=>1,000,000
(d) Uranium ambayo 1gram=?
(e),,,,,,
(f),,,,,,,.....
................endelezeni hapo by filling the blanks
Madini yote haya yalipoanza kuchimbwa na wawekezaji ndio yaliyofanya uchumi wetu kuwa tegemezi zaidi huku yakiliingizia taifa hasara za uharibifu wa mazingira na kuwanufaisha tu magamba
Enzi za Nyerere ilikuwa vipi tulilima
(1) Mkonge
(2) Pamba
(3) Kahawa
(4) Pareto
(5) Zabibu
(6)...........
(7) ........endelezeni hapo
na kwa kutumia vyote hivi hapa juu Hayati Babu Nyerere aliweza kuendesha uchumi na kujenga nchi kadiri ya uwezo wake wote na kuhakikisha kwamba:
(1) Anakopa pesa kwa wahisani ambazo anajua atarudisha siku akija kununua mitambo ya kuchimbia madini bila kuwapa wahisani sekta hiyo
(2) Anajenga viwanda vya kutosha kuchakachua malighafi zinazozalishwa.
(3) Anajenga mahitaji ya huduma za jamii(shule, hospitali, barabara....)
(4) Anadumisha heshima,amani, upendo, mshikamano, usawa.......
(5) Analinda kwa nguvu zote sehemu zenye madini ambayo anajua yataliletea taifa mapinduzi ya 100% kimaendeleo pindi tutakapokuja kuyachimba sisi wenyewe kwa mitambo yetu wenyewe
Sasa sijui nchi yetu inaelekea wapi kama madini yote yanakaribia kuisha ardhini bila faida yoyote, viwanda vyote tumeviua, mashamba yote tumeyatelekeza na kusitisha kilimo cha kisasa huku tukijidanganya kilimo kwanza,
NAWAKILISHA HOJA NIKIOMBA MAONI YENU