hili ni jukwaa la ujasiriamali na lengo ni kubadilishana mawazo,mi nadhani kama ni wazo zuri na umeamua kutushirikisha hakuna haja ya kupiga simu.Iweke hapa tubadilishane mawazo,kwani ni siri?
wako wengi ambao wamekuwa wakijitaftia umaarufu kwa kutoa matus na kutaka kuogopwa.Ni wakati muafaka sasa tukafahamu kuwa hili ni janga ktk jamii na kuanza kuwakemea au kutowapa nguvu ktk hilo.....tunawajua
jamani japo ajira zimekuwa ngumu lakini tusishindwe kuona picha mbele yetu,kwanza tujiulize maswali machache;
Kampuni kubwa kama ya simu haina website.
Toka waanze kujitangaza,nani amewahi kusikia ofisi zao zilipo
Je,toka mwanzon mwa mwaka nilipoanza kuwasikia,mmewahi kusikia aliyepata kazi au...
mkuu nadhani lugha uliyotumia kwenye heading ina udhalilishaji,mwanamke ni binadamu hivyo huwezi kumtumia.Kwani tayari umeshasema kunakuwa na makubaliano sasa iweje useme umemtumia?????
Najua yako mengi ya kujadili humu ndani,naheshimu mawazo ya wadau lakini ninahis kuna kitu kinakosekana katika mijadala iliyo mingi humu ndani.....kwanini tunaanzisha thread na tunajadili yaliyo nje ya mada husika?
Nashauri tujikite ktk mada husika ili tuweze kuijadili kiunaga ubaga na kutoa ya...
waleta habari hebu jipangeni mtupe habari sahihi,huyu anasema kagonga kakimbia kakamatiwa Ubungo,mwingine kagonga kashuka kamtisha mzungu kakamatwa hapo hapo.....which is which
Sishangai,kwani hata madem zaidi ya asilimia 50 wameweka picha za kizungu wakat wabongo,majina ya members yote fake!
Hata mimi profile yangu fake,na hii ndo imefanya jukwaa linoge zaidi!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.