Nahisi mdogo wangu amerogwa

Nahisi mdogo wangu amerogwa

Hapo sasa....
Au kwa vile bibi sio Nyamihela??
Wanaochukuliwa na vibabu wamerogwa??

kwa hiyo unasupport kuwa ni sawa kabisa wakusoma atembee na bibi...........!!!!!!!!!!!!!
 
Ni mkubwa kwa mtoto wa F5, but sio bibi, vinginevyo mtanifanya niwe ajuza wa mkongojo

ninachokataa mimi ni kuwa hawaendani kabisa bibi ameshacheza mechi nyingi za ugenini ni nyumbani ila dogo hana anachokijua anaweza aambiwe alambe papuchi.........!!!!!!!!!!!!!
kweli imekaa vizuri hapo..........................!!!!!!!:typing:
 
Mtafute mtu ambae dogo huwa anamsikiliza na kumwogopa akaongee na huyo mdogo wako!
 
Kwanza miaka 29 huyo ni binti sio bibi,dodo atakuwa kapewa vitu adimu.Muhim mpeni ushauri ajitambue

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mtafute mtu ambae dogo huwa anamsikiliza na kumwogopa akaongee na huyo mdogo wako!
kiukweli dada yangu mimi ndo mtu pekee tunayesikilizana na dogo na hata nilipokuwa bado chuoni aliniambia kwenye simu kuwa ameokota dodo ila nimekuja kugundua kuwa siyo dodo ni fenesi niliporudi na dogo safari hii hataki kabisa kunisikiliza labda mengine ila kwa hilo tunagombana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwanza miaka 29 huyo ni binti sio bibi,dodo atakuwa kapewa vitu adimu.Muhim mpeni ushauri ajitambue

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

kwa maelezo yako unataka nimshauri asimwache si ndio!!!!!!!!!!!!!!
 
Hapo sasa....
Au kwa vile bibi sio Nyamihela??
Wanaochukuliwa na vibabu wamerogwa??

unahisi angekuwa na hela ndo nisingeweka dought!!!!!
ishu ipo pale pale kuwa hawaendani..............................:whoo:
 
Kijana unaonekana una maamuzi yako tayari, sasa kwa nini unaomba ushauri?
 
Kijana unaonekana una maamuzi yako tayari, sasa kwa nini unaomba ushauri?

hata kama nina maamuzi kuomba ushauri kunasaidia kuwa maamuzi yangu yapo sawa au nimeteleza!!!!!
 
Miaka 29 ni used sana. Ninwabibi au unaweza kuita wachakavu au wakuukuu

Acha kuwadharau wanawake kiasi hicho, 29 sio bibi. Wachakavu na wakuukuu? Terrible judgment!!
 
mwanamke wa tabora ni zaidi ya mwanamme wa kikongo.

ninachokataa mimi ni kuwa hawaendani kabisa bibi ameshacheza mechi nyingi za ugenini ni nyumbani ila dogo hana anachokijua anaweza aambiwe alambe papuchi.........!!!!!!!!!!!!!
kweli imekaa vizuri hapo..........................!!!!!!!:typing:
 
mpaa hapo kulingana na maoni ya watu hapo juu unaonaje, uko sawa au umeteleza?

weka ushauri wako na wewe ili nipate hesabu kamili mbona unategemea maoni ya wenzio!!!!:ranger:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom