palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
Mimi tatizo langu lipo kwenye Laptop. kama ilizima tu kwa ukosefu wa power inaweza kurudi pale ulipokuwa mara ya mwisho. Utahitaji password kurudi sehemu ilipokuwa. Au fundi ata-log in kama guest haitaenda kule tena. Lakini kama ilipata hitilafu fulani, fundi akaiwasha ika-boot upya, haiwezi kurudi kama vile ilikuwa ime-hibernate. Unayosema yanaweza kutokea but this looks like a cooked story and there are so many such stories in JF.
kama unatumia google chrome na ulisign in na umefanya settings za kukumbuka password basi inarudi kama ilivyo.