Wamama na Wadada wa Saloon, tusugueni polepole

Wamama na Wadada wa Saloon, tusugueni polepole

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Kuna Saloon unaenda yaani unabinywabinywa hadi nyege zinapanda wakati wa kuoshwa au scrub' n so on! Wanawake wengine wana mikono yenye bariiidi, milaiiiini'' hata kama maji ni ya uvuguvugu, huku anakupumulia kama vile anakaribia! Kwa wengine cjui ni kero? Unaweza kuchafua boxer!
Jamani mtuscrub taratibu! Wengine nertwork zinasearch faster!
 
Khaa unapenda kuwa soft :what: mhudumie basi na wa kwako awe na mikono laini uone km utakumbuka kwenda kupata scrub za saloon.
 
pole sana walikuchokonoa sana masikio?kuna mwingine alinifanyiaga hivyo sinza kila nikienda ananichokonoa sna masikio halafu kamanda natulia tu bila kuonyesha hisia zozote zile siku moja si akauliza kwani we zako(Genye) ziko wapi?
Nilivyomjibu nitaendelea episode II
 
pole sana walikuchokonoa sana masikio?kuna mwingine alinifanyiaga hivyo sinza kila nikienda ananichokonoa sna masikio halafu kamanda natulia tu bila kuonyesha hisia zozote zile siku moja si akauliza kwani we zako(Genye) ziko wapi?
Nilivyomjibu nitaendelea episode II

Hem malizia bwana...
 
ukilegea hapo hapo anakuambia "kuna huduma ya ziada utahitaji''?
 
Watoto wa mama.

Unaijua haingii akilini kabisa eti dume zima unaenda salon kufanyiwa scrub!

Kuna siku nilikafokea kamdada kamoja hivi kwa kinyozi pale Victoria kwenye kona ya kwenda Mwananyamala.

Mi nimeenda kunyolewa nywele kichwani na ndevu kenyewe kananiuliza kama nataka scrub sijui na nini kile kingine....

Nikakaambia we 'binti tafadhali sana niheshimu nami ntakuheshimu. Sifanyagi hayo madudu mimi'
 
saloon gani hiyo?? Iko api niende kujifunza ya kuscrub au sijui kusukurubuuu
 
Unaijua haingii akilini kabisa eti dume zima unaenda salon kufanyiwa scrub!

Kuna siku nilikafokea kamdada kamoja hivi kwa kinyozi pale Victoria kwenye kona ya kwenda Mwananyamala.

Mi nimeenda kunyolewa nywele kichwani na ndevu kenyewe kananiuliza kama nataka scrub sijui na nini kile kingine....

Nikakaambia we 'binti tafadhali sana niheshimu nami ntakuheshimu. Sifanyagi hayo madudu mimi'

Hahaha!!! ulienda saluni kwa Willy sio...
 
Back
Top Bottom