Recent content by pantaloo

  1. pantaloo

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Nam nimooo Pantaloo genius
  2. pantaloo

    Ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B): Dalili, ushauri wa kinga na tiba yake

    Aksante jee hospital zetu za kawaidaa si inavipimo za kugundua hiloo? Pantaloo genius
  3. pantaloo

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Hapo umenena hebu tuwewavumilivu kidogo Msisahau kuna vitabu sita Alisafiri mpaka south Soo tuwe wapole ili ukishaielewa hii shule waweza kopa mkopo mkubwa na ukaufanyia kazi hiyoo na sio kwenda lima ufuta Isije mwisho watu wakaaja toa lawama zisizo na kichwa watanzania niwazuri kwenye...
  4. pantaloo

    Mtoto wa flora Mbasha akiwa na baba yake mpya

    Baba mtuu kama kadinda hivii au ndo suluwali za kubanaa
  5. pantaloo

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Toka mmeniibiaga na mobile bank yenu nikapigwa laki 8 yangu ya ada baba akaniona mwizi mpaka leo . nawafata pale mwanza mnaniambia habari za kufungua kesi wakati pesa iko kwenu naa apa mimi na kizazi changu kuto kutumia bank yenu na wala kuomba kazi kwenu yaanii I hate this bank sijui Ila kazi...
  6. pantaloo

    Haipiti wiki naota napiga pepa la form 4

    Me pia Niko mtaa napambana but naotaga napiga pepa la form 4 maala mdaa unakata naamka mda mwingine naota Niko na washkaji wa olevo au primary darasani ticha agawa pepa akifika kwangu ndoto na kata sijui ikoje hiyo japo nilisha malizaga chuo since 2013 napambana na mji wa yesu wa dar
  7. pantaloo

    House4Sale Anayehitaji kununua apartment Upanga

    Bei kaka Size Location Description Owner Contact Ungefuata huu utaratibu tungekuwa mbali mnafanya biashara zisizo na utaratibu ndo shida haya apartment kama hiyoo unategemea Mimi nilioko kimara ndo nije means utarget market kubwa sasa kila MTU akija ofisini kuuliza tu bei hauoni mnaluhusu...
  8. pantaloo

    Je, Una Kipaji cha Utangazaji? Jinsi ya Kujiajiri Utayarishaji na Utangazaji Vipindi Vyako vya TV

    Mkuu mayalaa nimekupata ninawazo la sport program hapa i will see big boss naiman pesa ipoo
  9. pantaloo

    Alphonce Lusako: Nina haki na mimi kusoma chuo

    Kosa ni wewe kuomba tena udsm kwani hukuona sehem nyingine tena mkuuu
  10. pantaloo

    Leo saa 5 hadi saa 6 mchana Ndugu Alphonce Lusako atakua na Mkutano na waandishi wa habari

    Sasa si angeomba chuo kingine kwani kulikuwa na umuhim gani yeye kurudi pale Jamani tatizo lisikie kwa Jirani likiwa kwako ni tofauti Walio karibu na huyu MTU muwe mnamshauri vizuri Huyu kijana ni MTU makini ila huu mgumo wetu wa sasa awe nao taratibu sana sio enzi za msoga
  11. pantaloo

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Dont loose hope aisee unamaishaa mengi kwenye duniaa Sema mkiambiwaga habari za kusoma mnaonaga kaka zenu wanavowashauri wamekuwa wazee
  12. pantaloo

    Natafuta kazi ya ualimu wa medium schools primary

    Masomoo ma 4 Mwalim kuwaa serious kidogo
  13. pantaloo

    Natafuta mchumba

    Me nataka single mothers Lakini usizidi 35 Na usiwee na tumbo kubwaa hapanaa Saizi kama za mange au kitako glan cha kichokozii
Back
Top Bottom